Nini Hatma ya Simba Klabu Bingwa?

Simba leo hii atakuwa ugenini kwenye  mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya Atletico De Luanda kutoka kule Angola mchezo ambao utapigwa majira ya saa 1:00 usiku.

Nini Hatma ya Simba Klabu Bingwa?

Vijana hao wa Msimbazi mpaka sasa ndio vibonde wa Kundi wakiwa na pointi 1 pekee huku Petro Atletico wao wakiwa na pointi 5 walizokusanya kwenye mechi zilizopita.

Mara ya mwisho wlaipokutana katika Dimba la Benjamin Mkapa Petro Atletico waliondoka na ushindi mwembamba hivyo leo hii wakiwa  nyumbani wanahitaji ushindi ili kujiweka kwenye nafasi zuri ya kufuzu hatua inayofuata.

Mpaka sasa matumaini ya Simba kufuzu ni magumu kwani kwanza kabisa inabidi ashinde mechi zake zote mbili zilizobaki huku pia akiombea mabaya kwa ambao walio juu yake akiwemo Esperence.

Kocha mkuu wa Mnyama Steve Barker akiwa ugenini leo anaamini kuwa timu yake inaweza kupata ushindi siku ya leo huku akiwa na kikosi kikubwa chenye wachezaji wenye uzoefu na michuano mikubwa.

Nini Hatma ya Simba Klabu Bingwa?

Meridianbet inakwambia kuwa endelea kubashiri hapa kwani ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yapo hapa. Ingia kwenye akaunti yako na uanze safari yako ya ushindi sasa.

 Je unafikiri kwa kiwango ambacho wamekionesha Msimbazi kwenye haya mashindano leo hii wanawez akufurukuta ugenini?. ODDS za kibabe zinapatikana Meridianbet.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.