ARTETA: Sijafurahishwa na Matokeo ya Nusu Fainali

Kocha mkuu wa timu ya Arsenal, Mikel Arteta amesema yakuwa hajafurahishwa na matokeo ambayo wameyapata usiku wa kuamkia leo kwenye wa nusu fainali ya pili ya Ligi la Europa baada ya kulazimisha sare na Villarreal.

Arteta

Baada ya ubao wa uwanja wa Emirates kusoma 0-0 katika nusu fainaili hizo imewafanya Arsenal kuishia katika hatua ya nusu fainali kombe hilo, kwa sababu mchezo wao wa kwanza wa Villarreal ilishinda 2-1 dhidi ya Arsenal.

Arteta amesema kuwa walipambana kusaka matokeo ila juhudi ziligonga mwamba mchezo huo jambo ambalo limewafanya washindwe kutimiza malengo yao.

Arteta

Tulikuwa tunahitaji kufanya jambo kwa ajili ya mchezo wetu ili kufika hatua ya fainali ila imeshindikana, wachezaji walikuwa chini, ilikuwa kazi kubwa kwangu.

Bahati mbaya tumeshindwa, tulikuwa na nafasi za kushinda, kuna nafasi mbili ambazo tumetengeneza ila hatukuweza kufunga, basi hamna namna kwa kuwa hatujapata mabao,” amesema Arteta.


TENGENEZA FAIDA KUPITIA MCHEZO WA TITAN DICE UKIWA NA MERIDIANBET KASINO

Unapokuwa kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, huna sababu ya kucheza kwa mashaka. Titan Dice, ni mchezo unaweza kukupatia mamilioni kwa mzunguko mmoja!

SOMA ZAIDI

9 Komentara

    Arteta usihuzunike sana..mpira mabadiliko

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Arteta akubali tu matokeo

    Jibu

    Waongeze juhudi

    Jibu

    Akubaliane na matokeo

    Jibu

    Waongeze juudi

    Jibu

    Pole yao

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.