Ripoti zinasema kuwa klabu ya AC Milan iko tayari kumuachia Lucas Paqueta kwenye dirisha hili la uhamisho. Wakala wa nyota huyu tayari yupo mazungumzoni na Lyon ili kukamilisha suala hilo kwa mujibu wa Tuttorsport.
Nyota huyu aliwasili Milan akitokea Flamingo mwaka 2019, lakini msimu wake wa 2019-20 haukuwa mzuri sana kama ambavyo alitarajiwa.
Milan wanaamini kuwa kumuuza wakati huu ni uamuzi mzuri kwa pande zote mbili na wanatarajia kuwa watakusanya €25m.

Lyon tayari wanatwa kuwa wapo katika mazungumzo na wakala Eduardo Uram. Klabu hii inatazamia kuuza mchezaji ili waweze kukamilisha uhamisho wake.
Baadhi ya vyanzo vinataja kuwa Memphis Depay yupo sokoni na anatarajiwa kukamilisha uhamisho wake kuingia Barcelona, huku Houssem Aouar na Jeff Reine-Adelaide nao pia wakitarajia kuondoka.
Ikiwa klabu itakamilisha mauzo ya wachezaji wao mapema basi watakuwa kwenye nafasi ya kuweza kukamilisha dili la Lucas Paqueta.
SHINDA NA MERIDIANBET!
Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.


Gabriel
Hapa wakala itabid awe makin na swala mkataba katika msimu huu maana lockdown nimefanya timu nying kushindwa usajil na kuwafanya wachezaji kuacha mikataba na kubaki bila timu but upande wang Lucas Paqueta namkubal sana
Angelina
Habari njema
Dorophina
Lucas yupo vizuri sana inabidi wakala wawe makini katika kuwauza wachezaji kwenye timu
Saupha mohamed
Good news
felister
kila la kheri uko aendako
aisha
Lyon wamepata jembe lucas ni mchezaji mzuri
Mwajumah
Kila la kheri uko aendako#Meridianbettz
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri Sana mtu wakazi huyo
Caroline
Asante kwa taarifa
Elika
Lucas Yuko vizur sana
Nasra
Mambo yanazidi kuwa mazuri
Genia Sikaluzwe
Habari njema
Sauda
Kila la kheri kwake
Zeiyana
Lucas yupo vizuri
Hidaya
Lucas namkubali sana
Ernest
Ni deal zuri kwa Lucas Paqueta kwani atapata chance ya kwenda kukipiga katika moja ya club Bora nchini Ufaransa
Johnmary joel
Namkubari sana#meridianbett
Adelta
Lucas yupo vizuri@meridianbettz
farida ahmadi
Lucas mkali
Mariam mtandama
Habari njema
lombo
gud news
Janeflora malisa
Nice
Fatuma kasomo
Habari njm
Neema
Habari nzuri sana hii
Theckla
Makala nzuri
Khadija
Safari njema uko uendako#meridianbettz
Amiri Kayera
Mchezaj mzur popot anachez
Theonestina
Akaze buti maisha popote
Sabrina
Itakua poa sana kama dili litatimia
Shafii
Sajiri nzuri kwa Lyon.
Aziza mushi
Habari njema.
David Pere
Hapa wakala itabid awe makin na swala mkataba katika msimu huu maana lockdown nimefanya timu nying kushindwa usajil na kuwafanya wachezaji kuacha mikataba na kubaki bila timu but upande wang Lucas Paqueta namkubal sana
Povel
Kila la kheri paqueta
Rose kapinga
Mambo ya pesa
magdalena
lukas kijana makini sana anaujua mpira sana
Njiku
Ipo poa
Hopemwaikuka
Nc
Issa
Safi