Joan Laporta: Barcelona Hailazimishi De Jong Kuuzwa

Raisi wa klabu ya Barcelona Joan Laporta amekanusha taarifa zilizokuwa zinasambaa kwa kasi kuwa klabu hiyo inamradhimisha kiungo wa kimataifa wa Uholanzi De Jong kuondoka kwenye klabu hiyo.

De Jong amekuwa kwenye rada ya klabu ya Manchester United na wapo tayari kulipa kiasi cha €85milioni ili kuweza kuhakikisha wanapata huduma ya kiungo huyo, lakini wakala wa mchezaji huyo alitoa waraka kuwa De Jong hawezi kuondoka Barcelona na hayuko tayari kupunguza kiasi cha mshahara wake.

Joan Laporta

Joan Laporta alielezea kwa upande kuwa ikiwa mchezaji huyo wa kimataifa wa Uholanzi anataka kubaki kwenye klabu hiyo, basi itabidi akubali kupunguza kiasi chake cha mshahara.

Taarifa iliyotolewa na mtandao wa Marca ulimnukuu Joan Laporta akisema, sio kweli tunaradhimisha kuuzwa kwa Frenkie de Jong, hiyo sio kweli.

“Frenkie safari ya Marekani itaamuliwa na Xavi na nafahamu atasafiri.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.