Manchester City Yabanwa Mbavu na Newcastle

Makala iliyopita
Lavia Arejea Mazoezini ChelseaMakala ijayo
Arsenal Yashinda Jioooni
Kipindi cha pili kilianza kwa kasi ambapo klabu ya Newcastle United walionekana kuanza kwa kasi wakihitaji kusawazisha goli walilotanguliwa na City, Matarajio yao yalifanikiwa kwani dakika ya 58 walipata penati ilyowekwa kimiani na Anthony Gordon na kufanya matokeo yawe goli moja kwa moja.