Mgunda atoa neno makundi ya CAF

Kocha Mkuu wa Simba, Juma Mgunda amefunguka kuwa kila timu kwenye makundi ya hatua ya michuano ya Klabu bingwa Afrika inapaswa kuheshimiwa.

Timu hiyo imepangwa kundi C kwenye michuano hiyo ikiwa na timu za Horoya AC, Raja Casablanca na Vipers.

Mgunda atoa neno makundi ya CAF

Akizungumzia kundi lao, Mgunda alisema “Tulifuzu hivyo tulichokuwa tunakisubiri ni kupangiwa timu gani ambazo tutaenda kukutana nazo.

“Tunapaswa kuziheshimu timu zote katika kundi letu hivyo tunawaomba mashabiki wetu watuunge mkono katika kuhakikisha tunaingia hatua ya robo fainali.”

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.