Mshambuliaji wa Liverpool Sadio Mane ameshinda tuzo ya Mchezaji wa Mwaka wa Mashabiki wa Ligi ya Primia – PFA kwa msimu wa 2019-20.
Nyota huyo raia wa Senegal alifanya vyema kampeni katika kampeni yake ya msimu, akifunga mabao 18 na kutoa pasi za usaidizi wa magoli saba huku Liverpool akifanikiwa kutwaa taji baada ya kusubiri kwa miaka 30.
Sadio Mane ameshinda tuzo hii, amepigiwa kura kutoka kwa mashabiki kote Uingereza. Amewatangulia nyota wa Manchester City Kevin De Bruyne na mwanatimu mwenza wa timu ya Liverpool Trent Alexander-Arnold, kwa kupata asilimia 41 ya kura.

Virgil van Dijk, Raheem Sterling na Jamie Vardy pia waliteuliwa kuwania tuzo hii muhimu kwa mchezaji binafsi.
Liverpool wanamaliza poa kwa kukusanya tuzo binafsi kibao, ukiacha mafanikio yao ya kuchukua taji la ligi mapema kabisa kabla ya mechi zao kuisha.
Jurgen Klopp alishinda tuzo ya Meneja wa Mwaka, Alexander-Arnold alinyakua tuzo ya Mchezaji Bora wa Msimu na Jordan Henderson alipigiwa Kura wa Wanahabari wa Chama cha Waandishi wa Soka kuwa mchezaji wa mwaka.
Drops and Wins!
Umeijua hii? Ni promosheni kabambe ya ushindi kwenye Casino ya mtandaoni ya Meridianbet! Unaweza kushinda hadi Euro 2,000,000 leo.


felister
hongera mane unastahili iyo tuzo
Ernest
Ni jambo zuri kwa Waafrika, Hongera sana Mane
Gabriel
Sadio mane yuko vzur sana na pia mashabiki kiukwel amempa kihalali kabisa maana ni mchezaji ambaye anajituma sana uwanjan na pia yuko vzur katika nafasi yake ya ushambuliaji namkubal sana huyu jamaa
Magdalena
namkubali sana mane anajituma sana
Issa
Safi sana kwa saido mane ulikuwa msimu mzuri kwake
Mwajumah
Ongera mane unastahili iyo tunzo#Meridianbettz
Lydia Emmanuel Magoti
Safii Sana Mane unastairi kupewa tuzo kwajudi zako kwakujituma namsimu mzuri kwake
Sadick
Imekuwa kawaida kwa timu inaposhinda ubingwa kuchukua tuzo nyingi kutokana na kikosi imara#meridianbettz
Genia Sikaluzwe
Pongezi nyingi Alistairi tuzo
lombo
yuko vzur kiukwel
Shafii
Waafrica wengi tuko upande wake kiukweli anatuwakilisha vizuri pale an field.
Janeflora malisa
Honger sana mane
Povel
Congrat Amestail 🏆🏆🏆
Hope mwaikuka
Mane yuko vzur sana
Furahav
Safi
Devotha
Sadio ni mchezaji mzuri
Sabrina
Money Yuki vizuri hongera yake
JULIANA
Yuko sahihi
Dorophina
Mane yupo vizuri sana hongera kwake
Johnmary joel
Hongera yake #meridianbett
rama
Maoni:pongezi sana kwake azidi kuongeza juhudi
Nasra
Mane kiungo bora sana
Flomena
Jurgen Klopp alishinda tuzo ya Meneja wa Mwaka, Alexander-Arnold alinyakua tuzo ya Mchezaji Bora wa Msimu na Jordan Henderson alipigiwa Kura wa Wanahabari wa Chama cha Waandishi wa Soka kuwa mchezaji wa mwaka
Ester jackson
Pongezi sana kijana mane
aisha
Hongera sana mane kwa kupeperusha bendera za waafrika unasitahili tunzo
Zeiyana
Huna weza ukasema huu mwaka wa Liverpool tu daaah..!kuanzia kocha hadi mchezaji ni habari nzuri sana kwa mashabiki wa Liverpool. Ongera sana sadio mane tunategea mengi makubwa kutoka kwako
Caroline
Sadio Mane hongera
Tatu
Pongezi kwake sadio mane kupata tuzo anastahili ni mchezaji anayejituma sana
Salma ngende
Anastahili tuzo
marry
yuko vzr
farida ahmadi
Hongera Sana mane
Tahiya
Anastahili kabisa
Saupha mohamed
Yupo vizuri
Christa
Hongera sana kwake
Samiah
Safi sanaa Mane
Latifa juma mohamed
Hongera Sana mane ulistahili tuzo
David Pere
Sadio mane yuko vzur sana na pia mashabiki kiukwel amempa kihalali kabisa maana ni mchezaji ambaye anajituma sana uwanjan na pia yuko vzur katika nafasi yake ya ushambuliaji namkubal sana huyu jamaa
warda
Hongera yao