Tutamaliza Nafasi ya Pili - Luc Eymael

Kocha wa Young Africans (Yanga SC) Luc Eymael ameweka wazi malengo yake msimu huu ni kuhakikisha wanamaliza nafasi ya pili katika Vodacom Premier League na kutwaa Kombe la FA.

Miamba ya Mitaa Jangwani walipoteza nafasi ya pili baada ya kutoa sare na Azama FC kuifunga Singida United 7-0 nakufanya kuwa na alama 61, alama moja zaidi ya Yanga.

Japo, mechi nne zimesalia kumalizika kwa msimu, kocha Mbeligiji ametanabaisha umuhimu wakumaliza nafasi ya pili, amesisitiza lengo hilo kwa wachzaji wake na lazima wapambane kufikia malengo hayo.

“Malengo yangu msimu huu yamebaki yale yale, lazima tumalize nyuma ya Simba na hakuna njia mbadala,” Eymael alisema Jumatano wakati wakijiandaa na mechi ya Ligi dhidi ya Kagera Sugar Alhamisi.

43 Komentara

    Malengo mazur San

    Jibu

    Nafasi ya pili wawaachie Azam

    Jibu

    Kila la kheri wana jangwani

    Jibu

    Sio mbaya pia

    Jibu

    safi malengo mazuri

    Jibu

    Asante meridianbet Kwa taarifa

    Jibu

    Iko poa sana hii

    Jibu

    Kila kheri

    Jibu

    Kukwel mashabiki wa yanga waliofanya maamuz mazur kumchukua kocha wa kimataifa ili aweze kuwasaidia timu ya wananchi Kwanza ukiangalia historia ya Luc Eymael alizaliwa Septemba 20 mwaka 1959 nchini Ubelgiji, ambapo alianza kucheza soka mwaka 1975 katika klabu ya Royal Star Fléron FC ya ligi daraja la nne nchini Ubelgiji.
    Alianza kazi ya kufundisha soka mwaka 1999 katika klabu ya Lierneux ya ligi daraja la tano nchini Ubelgiji, alipata leseni ya ukufunzi ya UEFA Pro mwaka 2007. Klabu alizofundisha barani Afrika ni pamoja na AS Vita ya DR Congo, Missile ya Gabon, MC Oran ya Algeria, AFC Leopards (Kenya), Rayon Sports (Rwanda), Al-Merrikh (Sudan), Polokwane City na Free State Stars za Afrika Kusini.
    Amefanikiwa kushinda ubingwa wa ligi katika klabu za AS Vita, Missile, AFC Leopards, Rayon Sports na mafanikio aliyonayo katika michuano ya vilabu barani Afrika ni kufika hatua ya pili ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika hivyo basi napenda kumuita kocha wa kimataifa na mzoefu me naamin huyu kocha ata apewe wauza mitumba awafundishe na mwez mmoja na wakutane na timu Kama Simba lazma wauza mitumba watashinda

    Jibu

    Kila kitu kinawezekana ni kutia juhudi tu

    Jibu

    Juhudi zinahitajika hakuna linaloshindikana

    Jibu

    Safi sanaaa

    Jibu

    ni malengo mazuri sana kwa msimu huu ila msimu ujao usikubali kumaliza ukiwa nafasi kama hii mashabiki wanataka kuona timu ikibeba kombe la VPL

    Jibu

    Yanga nafasi ya pili itaikamata kwa mechi zilizobaki inabidi ishinde kwa idadi kubwa ya magoli ili ifikie nafasi hiyo

    Jibu

    Ipo vizur sana

    Jibu

    Ni jambo la kujituma sio mchezo mchezo.

    Jibu

    Vizur sana

    Jibu

    Kilala kheri

    Jibu

    Kila la kheri yanga..

    Jibu

    Safi sana yanga kwa kujiamini kiasi hicho ,kila lakheri.

    Jibu

    Asante update za michezo

    Jibu

    Kila la kheri kocha tuna tarajia kuona kikosi cha yanga kikisonga mbele

    Jibu

    Safiiii sana kocha ndio tunataka mambo hayo haswa sisi mashabiki tunataka timu ya yanga ifanye vizuri hata kama tumekosa nafasi ya kwanza ila ya pili no muhimu sana mana wana simba wanajiona wamekamilika kuliko sisi .kila la heri yanga

    Jibu

    Kila la kheri yanga

    Jibu

    Yanga wameishiwa haoo

    Jibu

    Hii habari mzuri sana

    Jibu

    Habari njema.

    Jibu

    Ata wakimaliza nafasi ya pili bado sio mabigwa#Merianbettz

    Jibu

    Ni Jambo jema na azidi kuongeza
    Juhudi

    Jibu

    Yanga hanma jipya nafasi yapili muipatewapi nyie #Meridianbettz

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    dah!!juhud zinahitajika akuna mjadala#meridianbettz

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Ni maamuz mazuri

    Jibu

    Wakulungwa hii kweli jamani wazee wa bakuli kumaliza nafasi ya pili???!!!

    Jibu

    Maoni:Hii habari nzurii

    Jibu

    Yanga majanga tu.

    Jibu

    Kila la heri chama langu

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Jambo zuri

    Jibu

    Taarifa nzuri kwa wana yanga wachezaji wajitume kwa mechi zilizo salia.

    Jibu

    Nijambo jema wazidi kuongeza juhudi

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.