Penati ya Man United, UEFA Watoa Neno
Gemu ya Ligi ya Mabingwa Ulaya ya PSG dhidi ya Manchester United ilikuwa kali na kuacha matokeo ya kihistoria yaliyokuwa na nafuu kwa Manchester United chini ya Ole Gunnar Solskjaer. …
Viwanja Bora Duniani
Soka sio tu mchezo wa kushindanisha timu mbili uwanjani, pia linaendana na uwekezaji katika viwanja ambavyo mara nyingi huwa ni kivutio kikubwa cha mashabiki; pia huchochea wachezaji kucheza kwa …
Marouane Fellain Ametangaza Kustaafu
Aliyekuwa mchezaji wa Manchester United Marouane Fellain ametangaza kustaafu soka la kimataifa. Mwanasoka huyu ameweka wazi kuwa kwa sasa hatakuwa mchezaji wa kimataifa wa Belgium. Staa huyu alikamilisha usajili …
Ujio Mpya wa EPL Msimu Ujao
Kama siku zote wasemavyo wahenga, ‘Safari ya kesho huandaliwa leo’ basi haya yameanza kujibainisha mapema sana katika ligi kuu ya Uingereza ambayo imeanza marekebisho ya mapema kabisa kwa baadhi …
Wenye Pesa Ndefu kwa Sasa Uingereza
Ligi ya Uingereza inaendelea kusuka pesa za kutosha kwa sasa huku ikiendelea kuwalipa wachezaji wake vizuri ili kuwavuta waendelee kukaa katika vikosi vyao na kutoa huduma stahiki. Dili mbalimbali …
Jose Mourinho na Ukaribu wa Umeneja Real Madrid
Stori kali kwa wapenda soka wa Hispania sasa ni nani atakuwa meneja wa Real Madrid kuchukua nafasi ya Santiago Solari? Wadau wengi wamekuwa wakimpa nafasi sana aliyekuwa meneja wa Manchester …
Kikosi cha Tottenham Kitakachomvaa Southampton
Baada ya kutoboa kwenda robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, Tottenham wanataka kurejea kwa kishindo kuendeleza jalamba la ushindi huku kwenye Ligi Kuu wakati wakikutana na Southampton pale …
Furaha ya Cantona na Ferguson Baada ya Ushindi wa Man U
Ni furaha United! Ushindi wa kihistoria wa Manchester United dhidi ya PSG umewatoa kimasomaso mashabiki wengi wa Manchester United ambao wanatembea kifua mbele huko kitaa! ‘Ebwanaa eenh kazi ya Ole …
Pacha za Viungo Bora Uingereza
Ili mpira ukubalike miongoni mwa wanamichezo na wapenda soka lazima kuwepo na watu wanaowashawishi kuwatazama pindi wakiwa uwanjani. Kutokana na hilo wanachangia wao kulipenda soka hilo. Pamoja na hilo …
Barcelona Watoa Dozi Nyingine!
Ni mwendo wa dozi! Frankie De Jong ambaye amejiunga na Barcelona kuanzia msimu ujao ameendeleza historia mbovu kwa Madrid kwa kuiondoa kabisa nje ya michuano ya klabu bingwa barani …

