Ronaldo Kuondoka na Watu Wake…
Mlinzi wa kushoto wa klabu ya Real Madrid anahusishwa na kujiunga na klabu ya Juventus kwa kipindi cha hivi karibuni baada ya kupoteza kabisa nafasi ya kuanza ndani ya kikosi …
Hawaijui Tuzo ya Mwezi EPL!
Furaha ya mchezaji siku zote ni kushinda vikombe na mataji mbalimbali ambayo huweza kumuonesha kwamba anafanya kitu ambacho kinatambulika na kinaonekana na wengi wanaotambua thamani ya soka duniani. Jambo hilo …
Nani Kilaza Barca au United? Tujikumbushe
Manchester United na Barcelona wanavaana kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya matokeo ya droo ya robo fainali ya iliyochezeshwa Ijumaa hii, Machi 15. Sio mara ya kwanza kwa miamba …
Wolverhampton Vs Manchester United; FA CUP -Uchambuzi
Wolverhampton Vs Manchester United Wikiendi Hii! Manchester United bado hawajaridhika baada ya kichapo cha kwanza walichokipokea wakiwa chini ya meneja wao wa mda bwana Ole Gunnar Solskjaer. Wanasafiri kumfuata Wolverhampton …
Wapotevu wa Madrid…
Soka ni mchezo wa ajabu sana ambao siku zote huibua mambo ya aina mbalimbali. Kuna wakati mchezaji huhama kutoka klabu moja kwenda nyingine kwa lengo la kubadili angalau mazingira. Lakini …
Magoli 100 ya Haraka PL
Ligi kuu ya Uingereza imeshuhudia wachezaji wengi wakiweka historia ya kutikisa nyavu mara 100 wakiwa katika umri mdogo kabisa. Kama ilivyo ada kufikisha idadi hiyo ya magoli ni ndoto ya …
Callum Hudson-Odoi Ndani ya England U21
Kinda wa Chelsea, Callum Hudson-Odoi amepata shavu kwenye kikosi cha uingereza chini ya miaka 21 kwa mara ya kwanza wakati kikosi hicho kikiandaliwa kuvaana na Poland na Ujerumani kwenye Michuano …
Messi Anataka Kubamba Zaidi ya CR7
Hawa jamaa ni wapinzani wa Jadi sasa! Christiano Ronaldo -CR7 na Lionel Messi kwa kipindi kirefu wamekuwa wapizani katika ligi ya La Liga, Messi akiwa barcelona wakati Ronaldo akiwa Real …
Neymar Kupitiwa na Fagio
Kuna wakati ukiruhusu hisia zikuendeshe kuna uwezekano mkubwa ukajikuta unaingia kwenye mikono ya hukumu au sheria zikashika mkondo wake. Vivyo hivyo suala hili huwakuta wachezaji pale wanapotumia mitandao ya kijamii …
Usajili wa kwanza Baada ya Kurejea Zidane
Baada ya aliyekuwa meneja wa Real Madrid, Zinedine Zidane kurejea tena klabuni hapo, Real Madrid wanaripotiwa kuwa wamekubaliana kumsajili nyota mbrazili anayecheza nafasi ya ulinzi Eder Miltao kutoka Porto mwisho …

