Furaha Yenye Karaha!
Mchezaji huwa huru kuzitumia hisia zake kushangilia vile anavyojisikia yeye kwa namna ambayo itaheshimu nafasi ya wengine bila kuhatarisha au kuvunja sheria ambazo zimewekwa kama zile zinazoonesha kushangilia kwa kuashiria …
Sanchez: Soka ni Maisha Yangu
Mshambualiaji wa Manchester United, Alexis Sanchez ameamua kufunguka kwa wale wanaomdhania mabaya kwamba angeweza kuondoka katika ardhi ya Uingereza na kujiunga na klabu nyingine kutokana na kukosa muda wa kutosha …
“Sina Muda Nao!” – Griezmann
Griezmann hayupo tayari kuingia sokoni msimu huu kujiunga na klabu nyingine ya jiji alimo kwa sasa ila anaangalia zaidi kama atapata nafasi ya kutimka hapo na kujiunga na klabu nyingine …
Wababe wa CAF…
Afrika ni miongoni mwa bara linaloongoza kuwa na wachezaji wenye uwezo mkubwa na historia ya kipekee ambao wanafanya vizuri ndani na nje ya mataifa yao ya asili. Ni bara lenye …
Mata: Vichapo Kitapima Morali ya United
Baada ya kupokea vichapo ikiwa ni pamoja na kichapo kilichowatoa kwenye Kombe la FA dhidi ya Wolves, Juan Mata anaamini kuwa huu ndiyo wakati wa majaribu kwa Manchester United ambao …
Safari Ya Matumaini Real Madrid na Zidane
Real Madrid wameanza vyema safari yao ya matumaini chini ya meneja Zinedine Zidane anayehudumu kwa kipindi cha pili baada ya aliyekuwa meneja wa klabu hiyo Santiago Solari kutimuliwa. Real wameanza …
Hattrick ya Messi Ilivyowakosha Wapinzani!
Kitu nadra sana hiki, klabu yako inafungwa na unashangilia goli ambalo umefungwa na mpinzani wako! Huyu ndiyo Messi akikamilisha hattrick yake, wakati mwingine mafundi wanapaswa kupokea pongezi zo tu bila …
Raha za FA Cup…
Michezo ya kombe la FA ilishika kasi huku ikishuhudiwa baadhi ya klabu kubwa zikipata shida mbele ya klabu ambazo zinachukuliwa kuwa na uwezo wa chini. Klabu zenye majina makubwa zimepata …
Ligi Kuu: Kazi Ipo Top 4!
Ilikuwa ni siku mbaya upande wa Sarri ambaye alipata kipigo mbele ya Everton waliokuwa kwenye ubora wa hali ya juu ambao haujawahi kushuhudiwa kwao wakiwa nyumbani hususan wanapocheza na klabu …
Nusu Fainali ya FA
Ikiwa klabu nyingine zimetupwa tayari katika michuano hiyo inayoelekea mwishoni nchini Uingereza, makundi ya hatua ya nusu fainali tayari yameanikwa na kila mmoja amejua wa kukutana naye katika hatua hiyo …

