Ripoti: Ni Ajali Ndogo Tu
Champions League

Furaha ya mchezaji ni kuisaidia timu yake kupata matokeo kupitia yeye kuanzia mwanzo wa mechi hadi mwisho wake. Jambo hilo huendana na kucheza mechi husika kwa juhudi zake na maarifa …

Soma zaidi
Machaguo Sahihi kwa Madrid
Champions League

Kwa sasa Zidane ameanza kibarua chake kwa awamu nyingine tena kama kocha wa kikosi hicho cha matajiri wa Hispania. Hajataka kabisa kulaza mambo, ameanza vuguvugu la usajili mapema ili kurejesha …

Soma zaidi
Mbio za Kiatu cha Dhahabu
International

Kasi ya kukifukuzia kiatu cha dhahabu imekuwa sio ya kawaida kutokana na uchekaji na nyavu ulivyokuwa na kasi kubwa ndani ya ligi kuu ya Uingereza. Kwa sasa kila mchezaji anajitahidi …

Soma zaidi
Dortmund: Mwageni Pesa…
Bundesliga

Baada ya kuona mchezaji wao anaviziwa sana na klabu nyingi sasa klabu ya soka ya Borussia imekuwa sio mbinafsi kwa kuweka mezani bei ya mchezaji wao kwa yeyote atakayehitaji kuwa …

Soma zaidi
Romelu Lukaku Alikaribia Kujiunga Fulham na QPR!
Football

Romelu Lukaku wa leo huenda angekuwa mahali au klabu nyingine au angekuwa kwenye nafasi tofauti na alipo sasa katika soka lake la kulipwa! Staa huyu amefichua kuwa ilibakia kidogo mno …

Soma zaidi
Real Madrid Macho Yote kwa Sadio Mane
Football

Meneja wa Real Madrid, Zinedine Zidane anaripotiwa kuwa tayari ameshambainisha mshambulio wa Liverpool Sadio Mane kama kipaumbele namba moja cha klabu kwenye dirisha la uhamisho la Msimu wa joto. Ikumbukwe …

Soma zaidi
Nafasi za Wazi za Varane
Champions League

Real Madrid wanafikiria kupata wachezaji watakaoleta chachu mpya ndani ya kikosi chao mbele ya kocha wao aliyepata nafasi ya kukinoa kikosi hicho kwa awamu ya pili, Varane kwa sasa anaangalia …

Soma zaidi
Madrid na De Gea
Champions League

Baada ya Zinedine Zidane kurejea ndani ya viwanja vya Bernabeu zile habari za kumuwinda De Gea zimeanza kuchukua nafasi yake upya kwa mara nyingine tena. Hii inatokana na mapendeleo ya …

Soma zaidi
Stars Wamefanya Kweli!
Boxing

Ule msemo wa “yametimia” umeweza kudhihirika uwanja wa taifa Tanzania pale ambapo timu ya taifa ilipowasambaratisha Waganda katika ardhi yao. Ni aina ya mechi iliyovutia na iliyojaa shamrashamra na hamasa …

Soma zaidi
Tuwatazame Miaka 21 Kushuka Pale Uingereza
Football

Hebu tuwatizame wataalamu wa chini ya miaka 21 ambao ni hazina ya soka kwa taifa la Uingereza. 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Marcus Rashford Ni mchezaji wa Manchester United, amezaliwa Oktoba 31,1997 kule Wythenshawe. …

Soma zaidi
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.