Conor na Ronaldo…
Nyota wa UFC, McGregor amemzungumzia Ronaldo kutokana na historia yake na aina ya matokeo anayoleta kwenye soka na zao analolitoa katika klabu yake mpya ya Juventus kwamba ni mchezaji ambaye …
Rashford Akosa Mazoezi ya Mwisho!
Huenda kampeni ya kusaka nafasi ya kushiriki michuano ya EURO 2020 ikaanza bila ya baadhi ya nyota katika vikosi vya baadhi ya timu za taifa kutokana na majeraha ya baadhi …
Mashabiki Wanatia Mgomo Sarri Atimuliwe!
Katika soka mashabiki wamekuwa na nguvu sana katika kushinikiza baadhi ya maamuzi ya timu. Mashabiki huungana na wachezaji, kwa nafasi yao huwa wanakuwa na shinikizo lenye nguvu sana kwenye mamlaka …
FIFA Wamfungia Maisha Refarii Fagla
Shirikisho la Soka Duniani, FIFA wamemfungia Kokou Hougnimon Fagla ambaye alikuwa ni refarii kujihusisha na soka kwa maisha yake yote baada ya kupatikana na hatia ya rushwa. Kamati ya Maadili …
Kumbe Real Madrid ni Ndoto ya Pogba!
Kila mchezezaji mkubwa huwa na ndoto ambayo amekuwa akitamani kuitimiza kama mchezaji wa kulipwa, matamanio ya wachezaji hutofautiana na sio klia mchezaji huamua kuweka suala kama hilo wazi. Staa wa …
“Bado Siamini Kabisa!” – Mbappe
Raha ya mechi ni ushindi siku zote lakini inapotokea upande mmoja unapoteza hugeuka na kuwa majonzi kwa wale wanaopoteza mechi husika. Hilo siku zote lipo na halizuiliki kabisa kutokana na …
Robo Fainali ya CAF
Baada ya michezo yote kumalizika huku baadhi ya klabu zikivunja historia kubwa za ushiriki ndani ya michuano hiyo ya klabu bingwa Afrika sasa shirikisho la mpira wa miguu Afrika limepata …
Tambo za Wilder Akimsubiri Breazeale
Bingwa wa dunia wa ndondi za uzani wa juu Deontay Wilder anatarajiwa kutetea ubingwa wake dhidi ya Dominic Breazeale kule Newyork mwezi Mei. Pambano la Barclays Center liliamuliwa na WBC …
McGregor Alikwapua na Kuivunja Simu ya Shabiki
Mpiganaji wa ndondi mchanganyiko McGregor aliwekwa kizuizini na na polisi wa America baada ya kuripotiwa alipokonya na kuivunja kwa makusudi simu ya shabiki nje ya klabu ya usiku ya Florida. …
James Harden Achapa Rekodi Mpya NBA
Mlinzi wa Houston Rockets, James Harden amechapa rekodi mpya katika historia ya NBA kwa kuwa mchezaji wa kwanza aliyeweza kushinda angalau magoli 30 dhidi ya wapinzani wote 29 kwa msimu …

