Callum Hudson-Odoi Atanasa Kwenye 18 ya Nani?
Manchester United wanaripotiwa kuunga tela kumfukuzia Callum Hudson-Odoi ambaye Bayern Munich pia wanamtupia jicho wakijiandaa kuweka pesa mezani kwa ajili yake. Chelsea bado wanamtaka pia licha ya ukimya uliopo. Kwa …
Nicolo Barella Anaviziwa na Arsenal
Arsenal wanaripotiwa kuwa wametuma wawakilishi kwa ajili ya kumtupia kijicho staa wa Cagriali Nicolo Barella wakati akijichapia goli lake la kwanza kwenye gemu ya kimataifa akiwana timu yake ya taifa …
Hazard Akana Kusaini Real Madrid
Nyota wa Chelsea, Eden Hazard amekanusha taarifa kwamba amekubali kujiunga na Real Madrid kwa mkataba wa miaka mitano. Mkataba wa Hazard, Chelsea unamalizika mwishoni mwa msimu ujao na taarifa zimeanza …
Jose Mourinho: Najiandaa kwa Kibarua Kipya
Aliyekuwa meneja wa Manchester United kabla hajatimuliwa Jose Mourinho, sasa anasema yupo katika maandalizi ya kukipokea kibarua kingine cha umeneja katika msimu wa joto unaokuja. Bwana huyu ambaye pia amewahi …
Tushinde Tukiwa na Ronaldo Au Bila Yeye -Santos
Kocha mkuu wa Ureno Fernando Santos hajafurahishwa na matokeo ambayo timu yake wameyapata dhidi ya Ukraine Ijumaa. Katika kuzungumzia sababu za kukosa ushindi anasema yeye anaitazama timu nzima kwa ujumla …
Bahati Mbaya ya Messi Akirejea Argentina
Messi amekuwa na bahati mbaya akirejea kikosini Argentina kwa kushindwa kuona nyavu huku akipata jeraha wakati timu yake ya taifa ikikubali kichapo cha bao 3-1 dhidi ya Venezuela. Nyota huyu …
Hazard Huyooo…!
Inaonekana kabisa kwamba baada ya Zidane kuwasili Blancos hapo kuna mazungumzo ya mwanzo yamejadiliwa ili kuangalia kama mchezaji huyo ataweza kutua Bernabeu huku kocha huyo akiwa amekabidhiwa kikosi hicho akifanyie …
5 za Barcelona na United
Baada ya makundi ya robo fainali ya klabu bingwa barani Ulaya kupangwa na baadhi ya klabu kukutana katika mechi zinazotegemewa kuwa ni ngumu na zenye kuvutia ambazo ni kati ya …
Mbio za Barca na Real kwa Skriniar
Real Madrid na Barcelona wanataka kumsajili Milan Skriniar wa pale Inter Milan. Kwa mujibu wa wakala Mithat Halis, yeyote kati ya Barca na Real anaweza kumnasa staa huyu. Skriniar alitimba …
Solskjaer Pekee Ndiyo Anastahili Umeneja -Rooney
Nyota wa zamani wa klabu ya Manchester United Wyne Rooney anasema kuwa yeye anaona hakuna mtu yeyote mwingine anayefaa kupewa nafasi ya umeneja wa kudumu klabuni United zaidi Ole Gunnar …

