PSG Waliwachukulia Poa Man Utd -Kimpembe
Champions League

  Wakati PSG wakiwa wanaendelea kuuguza jeraha lao la kutemwa nje ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu baada ya kuchapa bao 1-3 wakiwa nyumbani, Presnel Kimpembe anasema …

Soma zaidi
Mario Balotelli anataka kusalia Marseille
Daily News

  Mario Balotelli ameweka wazi kuwa anataka kuendelea kusalia Marseille hata baada ya msimu huu kuisha akisisitiza kuwa klabu hiyo ipo lrvo nyingine ukifnanaisha na Nice. Balloteli alichapa jumla ya …

Soma zaidi
Tenisi: Yaliyojiri Kule Indian Wells
Daily News

  Michuano ya tenisi ya Indian Wells inaendelea kupamba moto huku baadhi ya washiriki wakitoboa kuingia raundi ya tatu ya michuano hiyo. Serena Williams ameweza kumlaza chali mpinzani wake. Serena …

Soma zaidi
Adidas Kuwalipa Wanawake Sawa na Wanaume
Daily News

  Msemo unaotaja kuwa wanawake wakiwezeshwa wanaweza unaanza kupotea, msisitizo unawekwa katika usawa kwa jinsia zote mbili! Adidas hawako nyuma. Jitihada za kusisitiza na kutetea usawa katika nyanja zote za …

Soma zaidi
Man City Sio Levo za Barca, Madrid na Bayern
Daily News

  Kwa mujibu wa meneja Pep Guardiola, Manchester city haiwezi kuwekwa kwenye levo za Real Madrid Barcelona au Bayern Munich ambao tayari wameshafikia sehemu fulani ya mafanikio. Pep Guardiola ambaye …

Soma zaidi
Zlatan: Baada ya Soka…
Daily News

  Miongoni mwa wachezaji ambao wameweza kujijengea heshima kubwa sana katika soka ni Ibrahimovic kutokana na kuyaishi maisha yake halisi katika ubora, uwezo na hata kutumia mbinu zake zote kuzipaisha …

Soma zaidi
Nani Alistahili Heshima?
Daily News

  Pongezi ni kitu ambacho kila mmoja hupenda kufanyiwa pale anapoonekana kufanya jambo fulani au kitu fulani kwa mafanikio makubwa. Jambo hilo mara nyingi huchochea utendaji kazi na mara nyingi …

Soma zaidi
Wachezaji Wenye Majina Magumu na Marefu
Daily News

  Kwa takwimu zinazoishi, mpira wa miguu ni mchezo ambao unafuatiliwa sana duniani iwe ni kwa kuangaliwa au kuwa na mashabiki wengi. Ni mchezo ambao unafuatiliwa na zaidi ya watu …

Soma zaidi
Valverde: Tulitarajia Messi Kuichezea Argentina Tena
Daily News

  Haijawa suala la kushangaza kwa Messi kurejea kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Argentina. Valverde anasema kuwa kila mu alitarajia Lionel Messi kuichezea Argentina tena. Messi hajaingia dimbani …

Soma zaidi
Klopp: Liverpool Wafurahie Kuwafukuzia Man City
Daily News

Bosi Jurgen Klopp anasema kuwa Liverpool wanapaswa kuwa na mawazo chanya, wanapaswa wafurahie wakiwa wanawafukuzia Manchester City. Watata hawa baada ya kutoa sare kwenye gemu 4 za Ligi wamejikuta wakiwa …

Soma zaidi
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.