Wazee wa Kupindua Meza…
Champions League

  Habari sio zilezile tena, hii Manchester inatukumbusha ile iliyokuwepo miaka ya 2000 chini ya Sir. Alex ambayo haikuwa na wasiwasi kabisa hata ikifungwa magoli matatu ambayo kwao ilikuwa ni …

Soma zaidi
Guardiola Vs Zidane Umeneja Juventus
Daily News

  Kuna taarifa kuwa meneja wa klabu ya Juventus, Maxi Allegri anatarajia kusepa klabuni hapo kwenye msimu wa joto unaokuja. Klabu ya Juventus wanadaiwa pia wapo kwenye maandalizi ya kumtafuta …

Soma zaidi
Kwaheri Lukaku, Njoo Dyabala!
Daily News

Taarifa zinadai kuwa United wanajiandaa kufanya uhamisho mkubwa wa paundi milioni 120 kwa ajili ya Paulo Dyabala kama wakimpungia mkono wa kwaheri Lomelo Lukaku klabuni hapo. Manchester United wanaripotiwa kuwa …

Soma zaidi
Nani Kulipa Kisasi?
Champions League

  Siku ya kisasi! Kama ilivyo kawaida Man United wanaenda kukutana na PSG katika mchezo utakaokuwa wa kukata kwa shoka. Huku United akijua fika kwamba yupo nyuma kwa magoli mawili …

Soma zaidi
UEFA: Nini Kimewakumba Madrid!
Champions League

  Haya ni kama mafuriko yanayowakuta Madrid kila wanapojaribu kujinasua kwa kujishikilia katika majani yanayopatikana ndani ya mto waliomo. Inaweza kuwa sio dalili njema sana kwa timu ambayo ilikua mshindi …

Soma zaidi
M-Sport Hits 250 At Happy Hunting Ground
Video

All right. Well, take care yourself. I guess that’s what you’re best, presence old master? A tremor in the Force. The last time felt it was in the presence of …

Soma zaidi
Atamani Kibarua cha Madrid
Daily News

Mourinho anatamani sana na haoni tatizo lolote hata kama leo hii akaitwa kuifundisha Madrid ambayo ana historia nayo tangu kipindi kirefu na anajua mambo yote yaliyopo ndani ya klabu hiyo. …

Soma zaidi
Kurudi kwa UEFA
Champions League

Ni ndani ya wiki nyingine ya mzunguko wa pili ligi ya mabingwa barani Ulaya ambapo timu nane zitashuhudiwa zikiumana viwanjani huku kila moja ikitafuta nafasi ya kufuzu kuelekea hatua inayofuata. …

Soma zaidi
Atamani Kibarua cha Madrid
Football

Mourinho anatamani sana na haoni tatizo lolote hata kama leo hii akaitwa kuifundisha Madrid ambayo ana historia nayo tangu kipindi kirefu na anajua mambo yote yaliyopo ndani ya klabu hiyo. …

Soma zaidi
Kurudi kwa UEFA
Football

Ni ndani ya wiki nyingine ya mzunguko wa pili ligi ya mabingwa barani Ulaya ambapo timu nane zitashuhudiwa zikiumana viwanjani huku kila moja ikitafuta nafasi ya kufuzu kuelekea hatua inayofuata. …

Soma zaidi
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.