Alvaro Morata Yupo Fiti Kuingia Atletico
Football

Mshambuliaji wa Chelsea Alvaro Morata yupo fiti kuingia Atletico Madrid baada ya kufuzu vipimo vya afya. Nyota huyu sasa anatarajiwa kurejea Hispania. Morata alijiunga na Chelsea akitokea Real Madrid sasa …

Soma zaidi
Itachukua Mda Bale Kurejea Mazima?
Football

Bosi wa Real Madrid, Santiago Solari ana wasiwasi kuwa nyota wa klabu hiyo Gareth Bale huenda akahitaji mda zaidi ili kuweza kurejea mazima katika hali yake ya kawaida na kupata …

Soma zaidi
Quatar, Japan: kwa Nini Washiriki Copa America?
Football

Quatar ni nchi ya Mashariki ya Kati na Japani pia ni nchi ya Asia Mashariki, lakini nchi hizi zinashiriki katika michuano ya Copa America ambayo kimsingi ipo kwa ajili ya …

Soma zaidi
EPL: Walinda Mlango Bora
Football

Kuna wakati timu inaweza ikawa bora lakini kama itakosa wazuiaji wa mipira bora katika milingoti miwili iliyosimama huweza kuwa ni tatizo kubwa zaidi litakaloifanya klabu husika kupoteza uimara wake. Hapa …

Soma zaidi
Si kwa United Hii!
Football

Manchester United wameendelea kusonga mbele katika raundi ya tano ya michuano ya FA baada ya kuiburuza Arsenal 3-1 huku washika bunduki hao wakiwa wenyeji wa mchezo huo. Ulikuwa ni mchezo …

Soma zaidi
Emelianenko Amtia Biti McGregor
News

Lendari wa Urusi wa MMA, veterani Fedor Emelianenko amemchimba biti bondia Conor McGregor kuwa anatakiwa ‘achunge domo lake’. McGregor anafahamika sana kwa kuropoka ropoka au kuongea ‘mbofu mbofu’ juu ya …

Soma zaidi
Henry Gemu 20 tu, Ametimuliwa!
Football

Monaco: Henry Ameongoza Gemu 20 tu kisha ametimuliwa! Klabu ya Monaco imemtimua aliyekuwa meneja wa klabu hiyo ambaye aliwahi kuwa msakata kabumbu maridadi wa enzi zake Thierry Henry. Monaco ambao …

Soma zaidi
Morata Hafai Kwenda Atletico -Schuster
Football

Msakata kabumbu wa zamani ambaye kwa sasa ni meneja wa DL  Yifang Bernd Schuster anaamini kuwa Alvaro Morata sio aina ya mchezaji ambaye anatakiwa kwenda Atletico Madrid. Morata ambaye anacheza …

Soma zaidi
Neymar Awatahadharisha United!
Football

Ikiwa bado takribani wiki mbili ili michezo ya klabu bingwa ya dunia iweze kuanza kutimua vumbi; kila klabu inafanya maandalizi ya awali kabisa kuona kama kuna namna wanaweza kupata ushindi …

Soma zaidi
Kama Messi na Ronaldo Wasingekuwepo…
Football

Kuna wakati katika soka wachezaji kadhaa hutokea kuwika sana katika vikosi vyao na kupelekea mashabiki kushindanisha mafanikio yao hwanjani ha baadae huenda mbali sana hata nje ya uwanja pia. Messi …

Soma zaidi
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.