Hapa Hamna Usiyempenda!
Football

Duniani kuna aina fulani ya wachezaji ikitokea kuna mmoja wapo unamchukia yupo mwingine ambaye kwa namna youote ile lazima umpende. Hii ni kutokana na ushindani, uwezo au kuna wakati aliwahi …

Soma zaidi
Mourinho Haishiwi Maneno!
Football

Aliyewahi kuwa kocha wa Manchester United, Jose Mourinho ambaye aliweza kupumzishwa na uongozi wa timu hiyo kutokana na mwenendo mbovu na matokeo mabovu ndani ya kikosi hicho; bado amekuwa ni …

Soma zaidi
Cole Kuungana na Lampard
Football

Cole [38] anaonekana kutaka kuungana na mchezaji mwenzake wa kipindi cha nyuma Lampard katika klabu ya Chelsea. Wachezaji hao waliachana kwa kitambo kidogo baada ya kustaafu soka la ushindani pale …

Soma zaidi
Tetesi: Rashford Kusaini Dili Zito Trafford!
Football

Mchezaji huyo kwa sasa amefanikiwa kubadilika kwa kiwango kikubwa sana tofauti na alivyokuwa mwanzoni, pongezi nyingi zimfikie  Ole ambaye kwa nafasi yake anefanikiwa kymtengeneza na amejua namna ya kumtumia mvhezaji …

Soma zaidi
Balloteli Kuendelea Kusakata Kabumbu
Football

Mchezaji huyo amekuwa picha la kutisha katika ligi mbalimbali duniani kwa kupitia kampeni zake za kupinga ubaguzi na kupambana juu ya kupata namba ya kudumu ndani ya kikosi hicho cha …

Soma zaidi
Barcelona Mazungumzoni Kumnasa Boateng
Football

Barcelona wanaripotiwa kuwa wamejiandaa kumnasa nyota wa Sassuolo Kevin Prince Boateng. Klabu hii wanaripotiwa kuwa mazungumzoni ili waweze kumnasa Boateng kwa mkopo wakiwa na makubaliano ya kumnunua moja kwa moja. …

Soma zaidi
Uchambuzi: Ni Janga Kubwa Sana!
Football

Klabu ya Tottenham imefanikiwa kuibuka na ushindi mnono unaowafanya waendelee kujizatiti kileleni mwa ligi hiyo hadi sasa kwa kuweza kuwapiga Fulham 2-1; ushindi unaowafanya wakae vizuri katika nafasi yao ya …

Soma zaidi
Simba Apungiwa Mkono Bila Kujibu
Football

Katika michuano ya klabu bingwa Afrika inayoendelea kutimua vumbi hadi sasa, klabu kutoka Tanzania inayoshiriki michuano hiyo, Simba ilipokea kipigo kizito cha kwanza kwa msimu huu cha mkono mmoja [5-0] …

Soma zaidi
WBA: Pacquiao Ampa Kichapo Broner
News

Mbwembwe za Adrien Broner kuwa angeweza kumchapa bingwa wa WBA Manny Pacquiao kisha akaenda kunywa naye meza moja zimemuacha akishuhudia kichapo kutoka kwa bondia huyo. Pacquiao amemchapa kisha ampa ujumbe …

Soma zaidi
Cavani Anafikiria Kustaafu Soka!
Football

Nyota wa PSG ambaye ni kiongozi wa magoli wa wakati wote kule Ligue 1, Edinson Cavani  baada ya  kujiunga na klabu hiyo akitokea Napoli mwaka 2003 anatarajia kustaafu soka, kwa …

Soma zaidi
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.