Klopp Alitabiri Hatma ya Coutinho…
Mchezaji Philippe Coutinho hali yake katika klabu ya Barcelona ipo katika hali ambayo haieleweki. Hii ni baada ya maisha yake ya kisoka ndani ya klabu hiyo kwenda nje ya kile …
Pacha za Wachezaji Zilizotisha!
Ferenc Puskas and Alfredo Di Stefano (Real Madrid), hawa ndio historia ya Madrid ya sasa kwa makubwa waliyoyafanya miaka ya 1950 hadi 1960, waliponyanyua ndoo ya klabu bingwa mara tano …
Ozil Hana Bahati
Kiungo wa Arsenal aliyejistaafisha kuchezea timu yake ya taifa ya Ujerumani baada ya ripoti mbalimbali, kwa sasa anaonekana kukosa nafaei ndani ya kocha mpya wa klabu hiyo Emery ambaye kwake …
Pacquiao Akutana na Mayweather
Wawili hawa ni mahasimu wakubwa wa ndondi duniani. Kila mmoja anaheshimu uwezo wa mwenzake kutokana na pambano lao lililopita kuwa lenye ushindani mkubwa na lililoibua hisia za aina yake kwa …
Serena Williams Kucheza Huku Akilea!
Akiwa ametoka kupasha kwenye michuano ya Hopman Cup kule Perth Serena alifanikiwa kushinda mechi zake zote tatu akidhihirisha ubora wake toka ajifungue mtoto wake. Wengi walidhania mchezaji huyo maarufu wa …
Wanamichezo na Dini
Imani ni kitu ambacho kipo nafsini mwa mtu mwenyewe, na hakuna mtu anayeweza kumlazimisha mwingine afanye kitu kingine bila hiari yake. Katika soka pia haya mambo yapo; mchezaji anayeamini katika …
Kuhusu Usajili Jumapili Hii!
Hapa tunakuletea stori kuhusu usajili Jumapili hii. Hapa zipo zile zinazosemwa hadharani na vilabu husika, makocha, wachezaji na mawakala wao. Lakini pia zipo zile za nyuma ya pazia ambazo bado! …
Kupoteana kwa Isco Madrid, Ataenda Juve?
Isco amekuwa na wakati mgumu siku za hivi karibuni, anapitia kipindi cha kutopewa nafasi sana kwenye kikosi cha Santiago Solari pale Real Madrid, katika gemu 3 zilizopita nyota huyu aliingingia …
Usajili: Fununu Mbalimbali za Soka
Barcelona wameanza kuwachokonoa Chelsea kwa kuonesha nia ya kutaka kumsajili Willian kikosini mwao. Ripoti hizo za mchezaji huyo kuanza kuhusishwa na klabu hiyo zimeibua sura mpya hii ni baada ya …
Mouriho: Heshima Kubwa Kuhusishwa na Vilabu Hivi
Aliyekuwa meneja wa Manchester United, Jose Mourimho anaendelea kuteka vichwa vingi vya habari licha ya kutokuwa na kibarua chochote kwa sasa. Mourinho anatawala vichwa kwa kuhusishwa na klabu mbalimbali zikiwemo …

