Mabadiliko Makubwa Yafanyika UEFA
Katika kuendelea kuboresha hadhi ya michuano ya klabu bingwa Ulaya, yamefanyika mabadiliko makubwa yenye lengo la kuleta usawa na haki kwa washiriki kwenye michiano hiyo mikubwa. Bodi ya michuano hiyo …
Mkwanja: Wachezaji Wanaovuta Pesa Ndefu!
Kutokana na utafiti uliofanywa hivi karibuni, zimetoka takwimu mpya za wachezaji wanaolamba hela nyingi kwenye klabu wanazochezea. Hii inatokana na mishahara yao wanayolipwa na gharama zao za kuuziana kuwa juu …
Gabriel Jesus Anafurahia Ligi ya Magoli na Aguero!
Nyota wa Manchester City, Gabriel Jesus anasema licha ya ukweli kuwa anamtambua Aguero kama Legendari na kumuweka kwenye kundi la watu muhim u wa wakati wote kwenye klabu hiyo, bado …
Matumaini ya Benfica kwa Mourinho
Benfica bado wana matumaini na Mourinho. Taarifa za hivi karibuni, ziliripoti kuwa aliyekuwa meneja wa Manchester United kabla hajaweza kumaliza vibaya mwaka 2018 kwa kutimuliwa na klabu hiyo, Jose Mourinho …
Ugumu Morata Kwenda Sevilla
Sevilla wanaripotiwa kuvutiwa na nyota wa chelsea Alvaro Morata, lakini kuna ugumu uliopo katika jitihada za kuinasa saini yake klabuni hapo. Klabu hii ilitaka kumpata nyota huyu kwa mkopo kwa …
Kuelekea Mzunguko wa Nne wa FA
Baada ya mizunguko mingine kukamilika na washindi kupatikana; klabu nyingi zitakuwa zinaelekea kutafuta nafasi ya kusonga mbele katika mzunguko unaofuata. Katika mechi hizo itashuhudiwa timu kubwa zikimegana na timu kubwa …
Misri Kuandaa Fainali za AFCON!
Hapo awali Cameroon walipewa nafasi ya kuandaa fainali za michuano hiyo mikubwa na ya aina yake Afrika, lakini kutokana na sababu mbalimbali wameweza kupokwa nafasi hiyo; huku Misri akipewa ripoti …
Ronaldo Balaa Tupu Sasa!
Makabati ya tuzo ya mchezaji huyu mkubwa na maarufu sana duniani yanazidi kufurika vitu vya dhahabu kutokana na kukusanya tuzo mara kwa mara kitu ambacho kinamfanya aendelee kusalia mchezaji wa …
Maridhiano: Fury na Wilder
Hali inazidi kuwa nzuri upande wa mashabiki wa masumbwi duniani juu ya ripoti zinazoendelea kuhusu pambano kubwa na lenye hadhi ya juu kati ya wapiganaji bora duniani ambao ni Tyson …
Keylor Navas Kuendelea Kupambana Real
Golikipa wa Real Madrid, Keylor Navas amesaini mkataba mpya utakaomfanya kuendelea kuwepo klabuni hapo hadi Juni 2021. Nyota alikuwa anahusishwa na klabu ya Arsenal, lakini Unai Emery alikanusha taarifa za …

