Watu Maarufu Kwenye Kabumbu
Football

Kila mtu huwa ni mpenzi wa aina fulani ya mchezo ambapo; hujisikia ufahari mkubwa hata anapochagua timu fulani ya kuishangilia katika aina hiyo ya mchezo. Mpira wa miguu pia upo …

Soma zaidi
Cardiff Wanamtaka Samatta
Football

Klabu hiyo wapo sokoni kwa sasa kutaka kumnasa mchezaji huyo raia wa Tanzania kwa udi na uvumba kutokana na uwezo wake. Samatta amekuwa akizungumziwa sana na klabu nyingi barani Ulaya …

Soma zaidi
Fununu za Soka Ulaya
Football

Liverpool wapo mbioni kufukuzia saini ya mchezaji kinda wa Benfica Joao Felix [19], lakini juhudi zao zinaonekana kutaka kugonga mwamba kutokana na klabu hiyo kuona bado inamhitaji mchezaji huyo katika …

Soma zaidi
Sharapova Amchapa Bingwa Mtetezi!
Football

Bingwa mtetezi wa michuano ya Australian Open Caroline Wozniacki ameshindwa kuchomoka kwa bingwa mara tano wa Grand Slam Maria Sharapova na kukubali kutolewa nje ya michuano hiyo. Mrusi huyu, Sharapova …

Soma zaidi
“Majeraha ya Kane Hayatufanyi Tusajili!”
Football

Ni kauli ya kocha mkuu wa klabu ya Tottenham, Pochettino akizungumzia sakata la kuumia kwa mchezaji wao tegemezi na sakata zima la mipango yao ya kuongeza nyota wapya kikosini hapo. …

Soma zaidi
Chiellini Amewajua Wabaya Wao
Football

Klabu ya Juventus imeanza kampeni zake za kunyanyua vikombe vizuri baada ya kuwaburuza wapinzani wenzao wa jiji hilo AC Milan kwa goli pekee la mtu mwenye historia zake duniani kwa …

Soma zaidi
Simba Uso kwa Uso na AS Vita Jumamosi
Football

Hii ni katika hatua ya makundi ambapo kila timu inapigana kujikusanyia alama ili iweze kujiweka mahala pazuri kuweza kusonga mbele. Simba akiwa kinara wa kundi hilo kwa kuwafunga Waalgeria; sasa …

Soma zaidi
Hawajabahatika Kutwaa Ligi ya Mabingwa
Football

Kombe la klabu bingwa ni miongoni mwa makombe yenye heshima na hadhi ya juu sana duniani. Klabu inaposhinda kombe la aina hii hupata heshima kubwa sana ndani ya msimu huo …

Soma zaidi
Wozniack Atoboa Raundi ya 3, Atamvaa Sharapova
Football

Bingwa mtetezi wa michuano ya Tenis ya Australian Open Caroline Wozniacki ametoboa kuingia kwenye raundi ya tatu kwa ushindi wa moja kwa moja dhidi ya Johanna Larsson.  Sasa atamvaa Sharapova! …

Soma zaidi
Ubaguzi Haufai Katika Soka!
Football

Klabu ya Tottenham inaripotiwa wapo katika uchunguzi wa kina juu ya sakata linaloripotiwa kuwa ni ubaguzi wa rangi uliokithiri kwa baadhi ya wachezaji wao. Mashabiki wanatajwa kuwa ni chanzo kikubwa …

Soma zaidi
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.