Kvitova : Kumbukumbu kuelekea Fainali
Kila mtu huwa na kipindi fulani kigumu anachokipitia au alichokipitia ambacho hataweza kukisahau kabisa. Mwanadada nyota wa tenisi Petra Kvitova naye amezungumzia kumbukumbu yake kuelekea fainali za michuano ya Australian …
Kilichomliza Neymar Akisepa Dimbani
Nyota wa PSG, Neymar alisepa dimbani akitoa machozi kwenye gemu waliyopata ushindi wa bao 2-0 dhidi ya Strasbourg ya kombe la Ufaransa. Alitoka kwa sabu baada ya kupata jeraha, huenda …
Masharti ya Neymar Kama Wanamhitaji Kwao
Inasemekana Neymar ameuambia uongozi wa Madrid kwamba endapo wanamhitajinkikosini hapo kwa sasa hawana budi kufanya baadhi ya mambo ambayo yeye anaonelea yatakuwa na tija kwake na kuleta mafanikio ndani ya …
Imani ya Ole Gunnar kwa Martial na De Gea
Menejea wa mda wa Manchester United, Ole Gunnar Solskjaer ana imani juu ya mastaa wa klabu hiyo golikipa David de Gea na mshambuliaji Anthony Martial kuwa watasaini mkataba mkataba mpya …
Nyota Matajiri wa Nigeria…
Nigeria ina wachezaji nyota wengi wanaocheza soka la kulipwa nje ya mipaka ya nchi hiyo. Kwa sababu hiyo wana kipato kikubwa ambacho kinawafanya waweze kutimiza mahitaji yao ya kila siku. …
Piatek Mbioni Kuwafuata Milan
Mshambuliaji wa Genoa, Krzysztof Piatek anatarajiwa kuingia AC Milan kuziba pengo lililoachwa na Gonzalo Higuain ambaye tayari anaripotiwa kwenda Chelsea kukamilisha dili lake la mkopo. Piatek anatarajiwa kuwafuata kwa paundi …
Sintofahamu Kutoweka kwa Sala
Hali ya sintofahamu imeendelea kutawala kwa familia na wapenzi wa mwanasoka aliyekuwa akikipiga kwenye klabu ya Nantes, Emiliano Sala (28). Kutoweka kwake kunaumiza vichwa polisi kubaini mahali ambapo anaweza kuonekana …
Henry Anaihofia Monaco Kuliko Hatma Yake
Baada ya Monaco kutemwa kwenye michuano ya Coupe de France na klabu ya Metz ambayo inashiriki League 2, Thierry Henry anasema anaihofia zaidi hatma ya klabu hiyo kuliko hatma yake …
Uchambuzi: Chini ya 23 Wanaotesa Ligi Kubwa
Kuna baadhi ya wachezaji walio na umri wa chini ya miaka 23 wanaofanya mambo makubwa sana katika umri wao. Baadhi ya wachezaji hao wamekuwa nguzo kubwa katika ngazi ya klabu …
Uingereza: Mbovu za Chelsea
Kuna wakati mchezaji anaweza kusajiliwa katika kikosi cha klabu fulani kwa malengo ya kufanya vizuri katika kikosi husika au kukiwa na lengo kwamba yale aliyokuwa anayafanya upande wa kwanza yatakuwa …

