This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.
West Ham Wametuma Ofa kwa Lopetegui Anayelengwa na Milan
Kwa mujibu wa La Gazzetta dello Sport, West Ham wametuma ofa kwa Julen Lopetegui ambaye analengwa na Milan na tayari amekutana na mmiliki wa Rossoneri, Gerry Cardinale. Milan itatengana na …
AZAM FC NAO NI MWENDO MDUNDO LIGI KUU
Ushindi wa Azam FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ihefu unawapa pointi tatu mazima huku mwamba Feisal Salum akifikisha mabao 14. Azam FC wameituliza Ihefu kwenye mchezo …
PACOME ATAJA SIKU ATAYORUDI UWANJANI
Kiungo wa Klabu ya Yanga Pacome Zouzoua amefunguka siku ambayo atarejea Uwanjani, Baada ya kukosekana Kwa muda mrefu. Hadi kufikia leo, inakuwa zimefika takribani wiki nne tangu alipopata jeraha kwenye …
AHMED ALLY AIBUKA NA KAULI NZITO BAADA YA KIPIGO
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba Ahmed Ally, ameibuka na kutoa neno nzito Kwa Mashabiki Baada ya siku mbili kupita tangu walipofungwa na Yanga 2-1. Ahmed amesema, ni kweli …
Simeone Inzaghi Bado Yupo Sana Inter
Kocha wa klabu ya Interzionale Milan Simeone Inzaghi bado yupo sana ndani ya klabu hiyo vinara wa ligi kuu ya Italia kutokana na kauli aliyoitoa leo mbele ya waandishi wa …
Beki Bayern Leverkusen Bado Dili Sokoni
Beki wa klabu ya Bayern Leverkusen raia wa kimataifa wa Burkinafaso Edmond Tapsoba ameendelea kua kivutio cha vilabu mbalimbali vikubwa barani ulaya. Beki huyo wa kimataifa wa Burkinafaso inaelezwa maskauti …
Bayern Munich Yamfukuzia Ferlan Mendy
Miamba ya soka kutoka nchini Ujerumani klabu ya Bayern Munich inafukuzia saini ya beki wa kushoto wa klabu ya Real Madrid raia wa kimataifa wa Ufaransa Ferlan Mendy. Bayern Munich …
Manchester United Kukipiga Leo na Majeraha Kibao
Klabu ya Manchester United leo itakipiga katika mchezo wa nusu fainali wa kombe la Fa nchini Uingereza huku ikiwa na majeruhi kibao kwenye kikosi chake haswa eneo la ulinzi. Manchester …
CHANGALAWE AMPIGA MMISRI ATINGA NUSU FAINALI
Nahodha wa kikosi cha Faru Weusi wa Ngorongoro Yusuf Changalawe amefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali baada ya kumchakaza mpinzani wake Abdelgawwad Orabi Salah kutoka Misri kwa points 5-0. Huu …
HAWA WAKO KWENYE VITABU VYA KARIAKOO DABI
NGOMA inatarajiwa kupigwa Uwanja wa Mkapa, Aprili 20 2024 kwenye Kariakoo Dabi ambapo kila timu itakuwa kazini kusaka pointi tatu ndani ya uwanja. Ikumbukwe kwamba kwenye mzunguko wa kwanza mchezo …