La Liga Ipo Tayari Na Maisha Bila Messi.
Katika hali ya kawaida, hakuna mchezaji mkubwa kuliko timu na vilevile hakuna timu kubwa kuliko shirikisho la soka la mahali husika. La Liga ipo tayari na maisha bila ya Lionel …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Katika hali ya kawaida, hakuna mchezaji mkubwa kuliko timu na vilevile hakuna timu kubwa kuliko shirikisho la soka la mahali husika. La Liga ipo tayari na maisha bila ya Lionel …
Baada ya kuutwaa ubingwa wa La Liga msimu uliokwisha, Real Madrid wanarejea tena uwanjani kuanza harakati za kuutetea ubingwa wao. Ratiba ya La Liga inaonesha mchezo wa kwanza wa Real …
Sakata la Lionel Messi kuondoka Barcelona linaendelea kupamba moto. Safari hii La Liga wameamua kuvunja ukimya na kutoa muongozo wa jinsi zoezi hili linavyoweza kumalizika. Mapema Jumanne, Messi aliutaarifu uongozi …
Sidney Govou, aliyecheza pamoja na Karim Benzema katika club ya Lyon amedai kwamba Benzema ni mchezaji bora na imara kuliko alivokuwa Thierry Henry. Karim amekuwa na msimu bora sana akiiongoza …
Lionel Messi ameweka rekodi mpya ya Kutoa Assists nyingi katika La Liga katika msimu mmoja, akimzidi mchezaji mwenzake wa zamani wa timu hapo Barcelona, Xavi katika mchakato huo. Messi alitoa …
Zinedine Zidane anasema kutwaa taji la La Liga kwa mara ya kwanza tangu arejee Ndani ya Real Madrid katika miaka mitatu kumemfanya afurahi kuliko kushinda Ligi ya Mabingwa. Real …
Club ya Real Madrid baada ya kutwaa taji la Ligi Kuu Hispania LaLiga 2019/20 kwa ushindi wa 2-1 dhidi ya Villarreal, hili ndio linakuwa taji lao la kwanza la …
Mshambuliaji wa Barcelona Luis Suarez amekiri klabu hiyo imekubali kushindwa kwenye mbio za taji la LaLiga, sasa wanajipanga kupigania ndoo ya Ligi ya mabingwa. Sare 3 katika michezo yao tisa …
Mshambuliaji wa Real Madrid Karim Benzema ameshinda tuzo ya Mchezaji bora wa La Liga katika mwezi Juni. Mshambuliaji huyo wa Ufaransa alikuwa mchezaji muhimu kwa Los Blancos kuweka rekodi yao …
Thibaut Courtois ana clean Sheets tatu zaidi kuliko kipa mwingine yeyote katika ligi Kuu tano bora za Ulaya msimu huu. Courtois alirudi Chelsea Mwezi Julai 2014 na msimu wake wa …
Real Madrid sasa wapo alama mbili juu ya msimamo wa La Liga baada ya kuichapa klabu iliyopo chini mwa msimamo Espanyol. Casemiro ndio mfungaji wa bao pekee baada ya kutumia …
Baada ya kuibuka na ushindi wa magoli 2-0 katika mchezo wao dhidi ya Mallorca, klabu ya Real Madrid sasa inaongoza katika msimamo wa La Liga. Magoli ya Real Madrid yalifungwa …
Marc-Andre ter Stegen golikipa wa Barcelona anaamini Barca itatetea taji la La ligalicha ya kupata alama moja kwenye mchezo wao na Sevilla ambao ulimalizika kwa kwenda sare ya 0-0, Barca …
Mshambuliaji kinda wa Barcelona, Ansu Fati, na mfungaji bora wa muda wote wa klabu hiyo, Lionel Messi wameiwezesha klabu hiyo kuzidi kujikita kileleni mwa msimamo wa ligi ya La Liga …
La Liga iliendelea wikiendi na mechi kadhaa zilikuwa kama hivi hapa chini: Real Madrid v Eibar Real Madrid wameshinda 3-1 dhidi ya Eiber katika mechi iliyochezwa kwenye dimba la Alfredo …
La Liga imesema itamchukulia hatua za kisheria mvamizi wa uwanja baada ya kuingia uwanjani kupiga picha na nyota wa Barcelona, Lionel Messi katika mechi ya bila mashabiki. Shabiki alivalia jeziya …
Wakuu! Tunajua kwamba La Liga imerejea na Madrid wanakuwa uwanjani siku hii ya leo. Mechi zote hizo unaweza kuzibetia hapa. Athletic Bilbao v Atletico Madrid – La Liga Kwa hapa …
Mwanasoka Lionel Messi yuko fiti kabisa kuiwakilisha klabu yake ya soka ya Barcelona ambao wanakipiga dhidi ya Mallorca wakati ligi kuu ya La Liga ikiwa imeanza wikiendi hii. Ikiwa ni …
Macho yote leo ni pale uwanjani Estadio Ramon Sanchez Pizjuan wakati ambapo klabu ya soka Sevilla inakutana na Real Betis wanafungua muendelezo wa msimu huu katika debi ya Seville. Los …
Baada ya kusitishwa kwa muda mrefu kutokana na janga la virusi vya corona, La Liga inarejea viwanjani Alhamisi ya leo, Juni 11 kwa mechi kali kati ya Sevilla ikikabiliana na …