Harakati za Ubingwa La liga ni Vita Kati ya Barca na Madrid

Baada ya kusitishwa kwa muda mrefu kutokana na janga la virusi vya corona, La Liga inarejea viwanjani Alhamisi ya leo, Juni 11 kwa mechi kali kati ya Sevilla ikikabiliana na Real Betis kwenye Seville Derby, na michezo mingi ikifatia wikendi hii ikiwa ni pamoja na Barcelona vs Leganes (Juni 16) na Real Madrid vs Valencia (Juni 18).

Vita ya Ubingwa: Barcelona wanaweza kutetea Ubingwa?

Barca wana faida mbili wakati watakaporejea kupigania taji la La Liga kwa mara ya tatu mfululizo Jumamosi hii na mechi ya kwanza wanasafari kuwafata Mallorca.

Jambo la kwanza; Barca wanaanza raundi ya kukamilisha michezo 11 ya mwisho Ligi, wakiongoza msimamo kwa tofauti ya pointi mbili juu ya Real Madrid. Faida ya pili waliyonayo ni kwamba nahodha Lionel Messi yuko fit, kinara wa mabao wa ligi (19) na mtoaji assists nyingi zaidi (12). Ikumbukwe pia Katika misimu 10 kati ya 15 iliyopita, timu iliyo na Messi imeshinda taji la La Liga.

Barca pia ina changamoto; Hakuna imani kubwa Barca wataweza kushinda michezo yote 11 iliyobaki. Bado wanamechi ngumu. Watacheza ugenini dhidi ya Sevilla na Villarreal, timu ambazo zimewamesumbua kwa miaka ya hivi karibuni, wakati huohuo wanamichezo migumu ya nyumbani dhidi ya Athletic Bilbao na Atletico Madrid. Pia kuna Derby ya Kikatalani dhidi ya Espanyol huko Camp Nou.

Nafasi ya Real Madrid kubeba taji?

Kuna jina moja linatosha kuelezea ni kwanini Real Madrid wanaamini wanaweza kuipita Barcelona na kubeba taji: Eden Hazard.

Msimu wake wa kwanza umeanza kwa kusuasua kutokana na kuwasili Real akiwa ameongeza uzito (Kibonge) pia majeraha ya mara kwa mara. Lakini kwasasa Ripoti kutoka Madrid zinasema makali yake yamereja kuanzia mazoezi huko anamshangaza kila mtu, hat trick kwenye mechi ya mazoezi.

Hazard hayuko peke yake, pia kuna Marco Asensio yuko fit – winga Gareth Bale amerejea katika kikosi akiwa fit zaidi kuliko mchezaji mwingune yoyote wa Real baada ya vipimo vya mwili mazoezini na anapaswa kufurahia kucheza bila kusikia filimbi za kuzomewa na mashabiki.

49 Komentara

    Mambo ipo huku sasa daaa!Hadi raha#Meridianbettz

    Jibu

    Mambo Ni Moto

    Jibu

    Pongezi sana bale hukujiachia kwa kipindi cha corona sasa funga mkanda kaza buti uwe bora zaidi

    Jibu

    Asanteni kwa taarifaa

    Jibu

    Eeeeh bwanaee Safi sn meridianbet Leo mmenipa raha bonge la makala big up meridianbet

    Jibu

    Hiyo vita mshindi naona atakua Barca😊#meridianbettz

    Jibu

    Asante meridian kwa makala

    Jibu

    Hatimaye miamba 2inakutana leo ..baada ya janga la dunia

    Jibu

    Harakati za kuwatafuta mabingwa ushaanza..!tunatarajia mabadiliko

    Jibu

    Duuh hii kweli noma sana##meridianbettz

    Jibu

    Mambo sasa yameivaa rasmi

    Jibu

    Atashinda Barcelona

    Jibu

    hapo sijui bingwa atakua nani

    Jibu

    Nadhani msimu huu utakuwa wa namna yake katika harakati za kukimbiza ubingwa kati ya mahasimu hawa wawili

    Jibu

    mwanzo kabisa tunaanza na darby ila katika hii darby sevila anashinda

    Jibu

    Barcelona ushindi lazima

    Jibu

    Ushindi kwa madridi

    Jibu

    Mambo yanazidi kuwa matamu😏😏

    Jibu

    Jamani habari hizi zina furahisha#meridianbett

    Jibu

    Ahsante kwa taarifa

    Jibu

    Msimu wa Real Madrid kuchukua Ubingwa#meridianbettz

    Jibu

    Tusubiri na tuone!

    Jibu

    Wababe wa soka wanarejea sasa itakua ni uhondo juu ya uhondo#meridianbettz

    Jibu

    Patakuwa hapatoshi

    Jibu

    Ushindi kwa barcelona

    Jibu

    Ni patashika uko laliga kwenye mbio za ubingwa mchuano apo ni mkali

    Jibu

    Madrid ndio mpango mzima

    Jibu

    Msimu huu utakuwah wa kibabe sana thnks meridian bet kwa update za michezo

    Jibu

    Msimu huu mambo yatakua makubwa sana zaidi ya sana

    Jibu

    Tunawasubiri kwa ham

    Jibu

    Ushindi kwa barcelona

    Jibu

    Subiri adi ligi itakapoisha tuone mbabe ni nani

    Jibu

    Mambo n Moto ila kwa msimu huu Barcelona inatakiwa ijipange ukiangalia juu ya usajil wa Madrid wako vizur sana na kocha wao zinedine Zidane n mzoefu

    Jibu

    Tusubili mpaka ligi itakapo Isha tuone nani mbabe

    Jibu

    Ligi ya hispain naikubali sana.

    Jibu

    Baca ushindi lazima

    Jibu

    Patakuwa hapatoshi

    Jibu

    Wapinzani wa jadi hao wa laliga napenda Sana

    Jibu

    La liga ipo patamuu

    Jibu

    Patachimbika

    Jibu

    Burudani imerudi ! Tukae mkao kupiga pesa#meridianbettz

    Jibu

    Lliga imepamba moto habar njema

    Jibu

    piga kelele kwa real ake 🎷🎷🎷

    Jibu

    Ni nzuri sana hii burudani ndani ya burudani.

    Jibu

    Patakuwa hapatoshi kwenye vibanda umiza watu km wote

    Jibu

    Madrid lazima ashinde

    Jibu

    Yani hapo atayepoteza mechi moja ashakosa ubingwa

    Jibu

    Nasubiri kwa hamu

    Jibu

    No hatari sana tunasubir tuone nani atautwaa ubingwa

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.