Klopp: “Safu Mpya ya Kiungo ya Liverpool ni Biashara Nzuri”
Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp anapenda safu yake ya kiungo iliyotengenezwa upya na anaamini kuwa klabu hiyo imefanya biashara nzuri msimu huu wa joto. Usajili wa pauni milioni 35 …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp anapenda safu yake ya kiungo iliyotengenezwa upya na anaamini kuwa klabu hiyo imefanya biashara nzuri msimu huu wa joto. Usajili wa pauni milioni 35 …
Manchester United imethibitisha kumsajili golikipa wa kimataifa wa Uturuki Altay Bayindir kutoka Fenerbahce. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25 ametia saini mkataba wa awali wa miaka minne Old …
Mchezaji Georginio Wiljnaldum yuko mbioni kuungana tena na Liverpool huku akijiandaa kujiunga na Al Ettifaq. Beti na Meridianbet kwa odds kubwa na machaguo kibao, pia unaweza kubashiri mubashara. Kiungo huyo …
Ligi ya Saudia Arabia bado haijamalizana na mpira wa Uingereza Inamtaka tena MO Salah, baada ya kuwachukua wachezaji baadhi waliokipiga katika Ligi Kuu ya Uingereza (Premier League) kama Ng’olo Kante, …
Klabu ya Manchester United imefanikiwa kukamilisha usajili wa golikipa mwingine kutoka nchini Uturuki Altay Bayindir ambaye alikua anakipiga klabu ya Fenerbahce. Manchester United wamekubaliana na klabu ya Fenerbahce kumsajili golikipa …
Usajili wa Staa wa Kibrazil Neymar Jr kutoka klabu ya Paris Saint-German (PSG) kwenda Al Hilal ya Saudia umegusa hisia za wengi kutokana na mambo kadhaa kwenye mkataba wake. Tembelea …
Roberto Firmino alifunga mabao matatu ‘hat-trick’ katika mechi yake ya kwanza ya Al Ahli huku mshambuliaji huyo wa zamani wa Liverpool akipata msururu wa Ligi Kuu ya Saudia msimu uliopita. …
Wachezaji wawili wa Liverpool Thiago Alcantara na Stefan Bajcetic hawajasafiri na kikosi hadi Singapore kwa ajili ya kufanya kazi ya kupona majeraha yao ya muda mrefu. Kukosekana kwa kiungo …
Klabu ya Southampton ambayo imeshuka daraja kwasasa inataka kiasi cha paundi milioni 50 ili kumruhusu kiungo wake Romeo Lavia kutimka klabuni hapo. Klabu ya Liverpool imefanya mazungumzo na klabu ya …
Klabu ya Nottingahm Forest imetuma maombi kwa klabu ya Manchester United ya kumuhitaji winga wa klabu hiyo Anthony Elanga kwa mkopo wa msimu mzima. Nottingham Forest wanamuhitaji winga Elanga kwajili …
Kiungo wa klabu ya Liverpool na timu ya taifa ya Brazil Fabinho taarifa zinaeleza yuko mbioni kuelekea nchini Saudia Arabia kujiunga na klabu ya Al-Ittihad. Klabu ya Liverpool na Al-Ittihad …
Kiungo wa kati wa Liverpool Fabinho ameachwa nje ya kikosi kinachosafiri kuelekea kambi yao ya mazoezi nchini Ujerumani baada ya klabu hiyo kupokea ofa rasmi ya kumnunua mchezaji huyo. …
Klabu ya Manchester United imetangaza kikosi chake cha wachezaji 26 ambao watakwenda nao kwenye pre-season ambayo wataanzia nchini Norway. Manchester United kesho itakua imefika katika jiji la Oslo nchini Norway …
Bukayo Saka amefunga hat-trick ya kwanza katika maisha yake ya soka wakati Uingereza iliyokuwa ikisambaa kwa nguvu ikiibuka na ushindi wa 7-0 dhidi ya Macedonia Kaskazini katika mechi ya jana …
Trent Alexander-Arnold anaamini kuwa safu ya kiungo ya Gareth Southgate ni shuti lake bora zaidi kung’ara kwa Uingereza. Nyota huyo wa Liverpool alicheza vyema katika nafasi hiyo katika ushindi …
Gwiji wa Manchester United Dwight Yorke alidai kwamba mlinda mlango David de Gea anafaa kuendelea kuwa chaguo nambari 1 wa klabu hiyo. Tembelea duka la ubashiri-Meridianbet kutandika jamvi lako kwa …
Kiungo wa Crystal Palace Eberechi Eze ameitwa kwa mara ya kwanza kwenye kikosi cha Gareth Southgate cha Uingereza kwa ajili ya mechi zijazo za kufuzu kwa Euro 2024 dhidi ya …
Bodi ya wasimamizi wa mechi ya ligi kuu ya Uingereza itachunguza baada ya mwamuzi msaidizi kuonekana kumpiga kiwiko Andy Robertson wa Liverpool wakati wa sare ya jana dhidi ya Arsenal. …
Liverpool wameshtakiwa na Chama cha Soka (FA) kwa tukio walilowafanya wachezaji wao kumzonga mwamuzi katika mchezo wa Jumamosi iliyopita wa mabao 4-1 dhidi ya Manchester City. Tukio hilo lilitokea …
Kocha wa klabu ya Liverpool Jurgen Klopp amesema kua haamini kama klabu yake ingeweza kushinda hata wapinzani wao klabu ya Manchester City wangekua na wachezaji kumi kiwanjani kutokana na namna …