Mameneja Bora Duniani
Soka ni mchezo ambao furaha yake ni kuacha alama kubwa ndani ya eneo ambalo wanakuwa wanapewa kazi kwa kuaminiwa katika nafasi zao. Jambo la pekee kwa kocha ni kuweza kutengeneza …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Soka ni mchezo ambao furaha yake ni kuacha alama kubwa ndani ya eneo ambalo wanakuwa wanapewa kazi kwa kuaminiwa katika nafasi zao. Jambo la pekee kwa kocha ni kuweza kutengeneza …
Klabu ya Real Madrid imejiondoa katika kinyang’anyiro cha kumfukuzia nyota wa Manchester United, Paul Pogba na kuna kila dalili kwamba nyota huyo ataendelea kuhudumu kikosini hapo kwa miaka mingine zaidi. …
Nyota wa Tanzania ambaye anacheza soka lake la kulipwa nje ya mipaka ya nchi yake amekuwa kwenye kiwango ambacho vilabu vingi vya soka vimependezwa nacho na vinatamani kwa kila namna …
Nyota wa klabu ya Crystal Palace, Wilfred Zaha ameingia upya kwenye mipango ya kocha wa klabu ya Chelsea, Lampard ambaye ana nia kubwa ya kutaka kumnasa nyota huyo ili kuweza …
Bosi wa klabu ya Borussia Dortmund, Michael Zorc bado anaendelea kukanusha ripoti mbalimbali ambazo zimekuwa zikidai kwamba huenda nyota wa Leipzig, Haaland akawa yupo mbioni kutaka kujiunga na klabu yake …
Kikosi cha Klopp bado kina kubwa la kufanya mbele ya michuano ya klabu bingwa baada ya kushindwa kuwika kabisa ndani ya michuano hiyo mbele ya mahasimu wao wa muda wote, …
Kati ya vitu ambavyo soka huvutia ni wakati ule ambao vilabu vinavyofukuzia ubingwa vinakutana na mmoja kuonekana anapotea kabisa kwenye mchezo huo. Pale mafahari wawili wanapokutana kwa kawaida ushindani wa …
Thamani ya kiungo wa Chelsea sokoni bado ipo juu na klabu nyingi kubwa bado zinachuana kuwinda huduma ya nyota huyo katika vikosi vyao. Kante amekuwa muhimili wa klabu hiyo kwa …
Meneja wa Liverpool Jurgen Klopp ametoa ripoti kuwa Allison amerejea kwenye mazoezini leo Alhamisi wakiwa wanajiandaa na gemu ya Ijumaa Oktoba 5. Allsion alipatwa na jeraha kwenye mechi dhidi ya …
Baada ya kuweka wazi nia yake ya kutaka kuhamia ndani ya ligi ya Uingereza nyota wa klabu ya Juventus, Mario Mandzukic anaona safari yake ya kutimkia ndani ya klabu ya …
Baada ya mechi kadhaa za mtoano za kombe la EFL kupigwa na washindi kupatikana ndani ha hatua itakayowezesha kila klabu kupata pacha yake ya kushindanishwa ili kuendelea kuchuja hadi kupata …
Soka ni mchezo ambao linalofanyika mara nyingi huonekana wazi kabisa bila kificho. Hilo linadhihirika wazi kabisa ndani ya klabu ya Liverpool ambao wanafanya vyema sana ndani ya Ligi Kuu ya …
Klabu ya Manchester United inayoshiriki ligi kuu nchini Uingereza ipo katika harakati za kumfanya mlinda mlango wa klabu hiyo, David de Gea kuwa sehemu ya wachezaji wanaolipwa kiwango cha juu …
Marco Reus anayekipiga katika klabu ya Borussia Dortmund anaonekana kuwa na utayari katika ushawishi ili kumfanya mchezaji mwenzake ambaye pia ni rafiki wake wa muda mrefu ambaye kwa sasa anahudumu …
Ligi kuu nchini Uingereza iliendelea mwishoni mwa wiki hii ambapo ilishuhudiwa mechi kubwa sana katika ligi hiyo kati ya Liverpool waliokuwa wenyeji wa Arsenal ndani ya mechi hiyo. Mechi kati …
Wawili hao wana historia ya kufanya kazi pamoja katika klabu ya Borussia ambako walifanya kazi kwa mafanikio sana wakiwa pamoja. Hadi leo waliacha heshima kubwa sana ndani ya kikosi hicho …
Msimu huu wapa! Wazee wa mikeka wameshaandaa kalamu na karatasi kwa ajili ya kuandika hesabu za pesa zao, tunaanzia hapa; Liverpool V Norwich City. Liverpool wanatarajia kufanya vyema zaidi ya …
Meneja wa Manchester City Pep Guardiola anaamini kuwa msimu ujao utakuwa mgumu sana kwa sababu washindani wataongezeka. Gardiola anasema kuwa taji litakuwa na ushindani mkubwa pia kutoka kwa mahasimu wao …
Kwa kadri siku zinavyosonga mbele majukumu ya ulinzi nayo yamekuwa yakibadili mwekekeo wake kutoka katika hali iliyokuwepo hapo awali ya kwamba kazi ya mabeki ni kulinda na kuzuia mipira isiweze …
Bado pazia lipo wazi kwa timu kuhakikisha wanafanya maingizo mapya ndani ya vikosi vyao ili kuongeza nguvu katika hali ambayo kwa kiasi fulani itachangia kuongeza ufanisi wa pekee msimu ujao. …