Pioli Afurahia Urejeo wa Ibrahimovic Baada ya Kukosekana Muda mrefu
Stefano Pioli amemsifu Zlatan Ibrahimovic kwa ushawishi wake kwenye kikosi cha AC Milan huku akipendekeza mshambuliaji huyo ambaye yuko fiti tena hivi karibuni ataweza kuanza msimu wake wa kwanza msimu …
Chelsea Wako Karibu Sana Kwenye Makubaliano ya Kumnunua Szoboszlai
Kiungo wa RB Leipzig Dominik Szoboszlai ana mabao matano na asisti 13 katika mechi 31 alizocheza msimu huu huku akihusishwa na Chelsea. Kipaji cha mchezaji huyo mwenye umri wa …
Caicedo Asaini Mkataba wa Muda Mrefu na Brighton
Moises Caicedo amesaini mkataba mpya wa muda mrefu na Brighton and Hove Albion baada ya uhamisho wake kushindwa kukamilika kwenda Arsenal. Kiungo huyo mwenye umri wa miaka 21 alihusishwa …
Terzic Aipongeza Safu ya Ulinzi ya Dortmund
Kocha mkuu wa Borussia Dortmund Edin Terzic ameusifu uimara wa safu ya ulinzi ya timu yake baada ya Dortmund kufikia rekodi ya klabu kwa kupata ushindi wa nane mfululizo wa …
Spalletti Afurahishwa na Hali ya Napoli Licha ya Kupoteza Dhidi ya Lazio
Kocha mkuu wa Napoli Luciano Spalletti ameona dalili chanya kutoka kwa timu yake ya Napoli licha ya kushindwa 1-0 na Lazio siku ya jana. Juhudi nzuri za Matias Vecino …
Yanga Yatinga Robo Fainali Kombe la Shirikisho la Azam Kibabe
Klabu ya Yanga imetinga hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam kibabe baada ya kuichakaza Tanzania Prisons kwa mabao 4-1 katika mchezo uliopigwa majira ya …
Lukaku Atarejea Chelsea, Lakini Blues Hawataki Mshambuliaji Huyo Arejee
Mshambuliaji wa Inter Romelu Lukaku atarejea Chelsea mwezi Juni, lakini kulingana na Il Corriere dello Sport, The Blues hawamtaki mshambuliaji huyo wa Ubelgiji na wako tayari kujadili mkataba mpya na …
Neymar Anatarajiwa Kuikosa Bayern Munich
Kocha mkuu wa PSG, Christophe Galtier amesema kuwa Neymar anatarajiwa kuukosa mchezo wa mkondo wa pili wa hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa wa Paris Saint-Germain dhidi ya …
Wakala wa Haaland Anasema Madrid Ndio Timu ya Ndoto kwa Mchezaji Yeyote
Wakala wa mshambuliaji wa Manchester City Erling Haaland, Rafaela Pimenta amesema kuwa Real Madrid inasalia “Timu ya ndoto” kwa mwanasoka yeyote yule. Haaland amefunga mabao 33 mpaka sasa akiwa …
Grealish Acheza Kama Almiron wa Oktoba Kuelekea Etihad
Jack Grealish hakufikiria kuwa alikuwa akijiweka tayari kuanguka alipomsema vibaya Miguel Almiron wa Newcastle wakati akisherehekea ushindi wake wa kwanza wa Ligi Kuu. Kwa kiwango cha mtu binafsi, msimu …

