Kwa mujibu wa taarifa toka Italia, Roma wana mpango wa kuwauza wachezaji sita katika dirisha la uhamisho la mwezi Januari.
Roma ambao wapo katika nafasi ya tatu kwenye ligi, wakiwa tayari wamecheza mechi zao 14 wanawalenga pia Carles Perez na Federico Fazio katika mpango wao wa uhamisho.

Wakati meneja mpya Tiago Pinto akijaribu kukamilisha suala la uhamisho wa wachezaji wapya wanaowalenga, kuna idadi kadhaa ya wachezaji pia wanaotakiwa kuondoka klabuni hapo kwa mkopo au kwa uhamisho wa kudumu.
Il Corriere dello Sport wanaripoti kuwa wachezaji sita wanatarajiwa kuuzwa katika dirisha linalofunguliwa Januari.
Nyota wa zamani wa Barcelona, Carles Perez ambaye ana goli moja mpaka sasa katika mechi zake 14 alizocheza kwa mashindano yote naye yupo kwenye mpango huu. Roma wapo tayari kumuacha aondoke kwa mkopo ili aendelee kupata mda mwingi wa kucheza.
VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini?



Khadija
jamani roma nao wanazingua wanauzaje sasa hao wachezaji 6
Sania
Roma wanaangalia maslahi kwanza
Shakila mrope
Asante kwa taarifa meridian bett
Rahmal
Mnazingua roma wachezaji wote 6 mbona wengi
Adelta
Kikubwa maslai tu
Neema juma
Wachezaji wote hao duu
Sabrina
Roma waakikishe wanapata mtonyo wa kutosha ili waweze jusajiri vizur
Ernest Kimeru
Sio mbaya kujaribu kujijenga upya Roma ni timu kubwa sana
warda
Mbona wengi hivi
Dorophina
Mbona wanawauza wachezaji wengi sana roma vipi
Angelina
Nice update
Tatu
Wataingiza Mshiko mrefu
Janeflora malisa
Poa t
Hopemwaikuka
Aina mbaya
Lydia Emmanuel Magoti
Duuu lakini sio vibaya
Issa
Roma wamepania kurudisha enzi zao
Gabriel
Ngoja tuone wamejipanga vp!