Azam Fc Watoa Thank You kwa Wanne
Makala iliyopita
Nacho Kutimkia Saudia
Makala ijayo
Manchester United Yamtaka Van Nistelrooy
Kuelekea msimu ujao matajiri hao kutoka Chamazi wameelezwa kutaka kufanya usajili wa nguvu ambao utawapa nafasi ya kufanya vizuri katika ligi kuu ya NBC, Lakini pia kufanya vizuri kimataifa kwani msimu ujao watacheza ligi ya mabingwa barani Afrika hivo hawataki kutia aibu kabisa.