Manchester United Yamtaka Van Nistelrooy
Makala iliyopita
Azam Fc Watoa Thank You kwa Wanne
Makala ijayo
Chelsea Wahamia kwa Nico Williams
Van Nistelrooy alikua anatakiwa na klabu ya Burnley ambayo imeshuka daraja msimu uliomalizika na klabu hiyo ikielezwa ilifika kwenye hatua nzuri dhidi ya Nistelrooy, Lakini Man United kuingilia dili hilo inaweza kubadili kila kitu kwa upande wa Burnley.