Manchester United Yamtaka Van Nistelrooy

Makala iliyopita
Azam Fc Watoa Thank You kwa WanneMakala ijayo
Chelsea Wahamia kwa Nico Williams
Van Nistelrooy alikua anatakiwa na klabu ya Burnley ambayo imeshuka daraja msimu uliomalizika na klabu hiyo ikielezwa ilifika kwenye hatua nzuri dhidi ya Nistelrooy, Lakini Man United kuingilia dili hilo inaweza kubadili kila kitu kwa upande wa Burnley.