AZIZ KI KUREJEA LEO KUSAINI MKATABA MPYA

Kiungo wa Ushambuliaji wa Klabu ya Yanga na raia wa Burkina Faso ambaye ni Mfungaji bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara (NBC) Msimu uliopita, Stephane Aziz ki anatarajiwa kuwasili nchini Tanzania leo.

Aziz Ki anarejea Tanzania na anakuja kuanza kuutumikia Mkataba wake Mpya ambao atausaini kabla ya kuingia kambini kuungana na wenzake.

Hatua hiyo inakuja baada ya Uongozi kumalizana naye kwenye kile ambacho alikuwa anakihitaji ikiwemo kumboreshea maslahi.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.