BANGALA HAKIJAELEWEKA AZAM

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa bado wachezaji wao wawili hawajarejea kwenye uimara hivyo watakosekana kwenye mchezo unaofuata dhidi ya Coastal Union ambao unatarajiwa kupigwa kesho Ijumaa kwenye Dimba la Mkwakwani Tanga.

Mchezo uliopita wa Azam walipata suluhu ugenini dhidi ya Dodoma Jiji, Uwanja wa Jamhuri, Dodoma.BANGALAKocha wa Azam FC, Yusuph Dabo ameliambia Championi Ijumaa kuwa, wachezaji wao muhimu bado hawajatengamaa lakini hawana hofu wataendelea kupambana.

“Yannick Bangala na Price Dube hawa ni wachezaji wetu muhimu lakini bado hawajawa imara kutokana na kusumbuliwa na majeraha lakini waliopo wanaendelea na mazoezi kwa ajili ya mechi ya kesho (leo).BANGALA“Kikubwa mashabiki wasiwe na hofu wazidi kuwa pamoja nasi, tushikamane kwa pamoja tunaamini tutafanya vizuri mechi hiyo.”

 

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.