Beki wa Yanga Kuikosa Club Africain

Katika mchezo wa kwanza uliopigwa Novemba 2 mwaka huu Jijini Dar, Yanga waliambulia suluhu ya bila kufungana.

Mchezo wa marudiano unatarajiwa kupigwa Novemba 9 mwaka huu, ambapo Yanga wanapaswa kupata sare ili kuvuka hatua hiyo.

Akizungumzia hali ya kikosi chao, Meneja wa Yanga, Walter Harrison amesema: “Hali ya wachezaji wote ipo sawa na kila kitu ambacho tumejipanga kinakwenda sawa.

“Tutamkosa Shaban Djuma hiyo ni baada ya kupata majeraha kwenye mchezo uliopita ambapo tulimfanyia mabadiliko na alitoka nje.

“Alichanika nyama za paja hivyo ataukosa mchezo huu huku akiendelea na matibabu hivyo kocha aliona hilo na atajua yeye katika mbinu zake atamuingiza nani kwenye kikosi chake.”

aviator

Ulishawahi kuwaza kuwa rubani wa maisha yako!! Kuwa rubani wa mchezo pendwa wa Aviator wa kasino mtandaoni. Aviator bonanza inazidi kutoa michongo ya mkwanja kwenye nyumba ya mabingwa. Unarusha ndege yako na unashinda, kuwa rubani wa kujivunia kwa kuibuka na mkwanja leo.

BONYEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.