GAMONDI: YANGA TUNACHEZA KIBINGWA

KOCHA wa Yanga, Miguel Gamondi ameeleza kuwa timu yake inapata ushindi mkubwa na kwenye mechi ngumu kwa sababu wachezaji na timu yake wanacheza kibingwa.

Gamondi alisema, anafurahishwa na namna ambavyo wachezaji na timu yake inavyocheza, hiyo inamfanya aone kabisa kuwa wanakwenda kutimiza malengo yao msimu huu.Gamondi“Timu inacheza kibingwa sana, kuna wakati unakuwa hauna wasiwasi kama kocha, kwenye mechi ngumu ugeuka na kuwa mechi rahisi. Hiyo kwetu inatia faraja kama benchi la ufundi.Gamondi“Unaweza ukaona mechi yetu na Azam FC, tulijua kuwa itakuwa ngumu sana kwa kuwa wapinzani wetu nao ni bora, lakini mwisho wa mchezo tunashinda na kuifanya mechi ionekane kama rahisi. Nawapongeza sana wachezaji wangu,” alisema Gamondi

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.