Geita Gold Fc wavunja Mkataba na Mpole

Uongozi wa klabu ya Geita Gold umethibitisha kuwa mkataba wake na kinara wa magoli Ligi kuu ya NBC msimu wa 2021/22, George Mpole umemalizika na kwamba makubaliano ya pande zote mbili yamefikiwa kuwa Mpole yupo huru kujiunga na klabu nyingine kuanzia leo Disemba 7 2022.

Geita Gold inamshukuru Mpole kwa kazi, ushirikiano na utendaji mzuri aliouonyesha kwa kipindi chote.

Timu hiyo inamtakia Mpole kila la kheri katika maisha yake ya mpira wa Miguu. Uongozi wa klabu ya timu hiyo umethibitisha kuwa mkataba wake na kinara wa magoli Ligi kuu ya NBC msimu wa 2021/22, George Mpole umemalizika.

 

Geita Gold Fc wavunja Mkataba na Mpole

Na kwamba makubaliano ya pande zote mbili yamefikiwa kuwa Mpole yupo huru kujiunga na klabu nyingine kuanzia leo Disemba 7 2022.

Pia timu hiyo, inamshukuru Mpole kwa kazi, ushirikiano na utendaji mzuri aliouonyesha kwa kipindi chote. Geita Gold inamtakia Mpole kila la kheri katika maisha yake ya mpira wa Miguu.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.