Ibrahim Ajibu Apewa Mkono wa Kwaheri Azam

Kiungo wa zamani wa klabu ya Azam Fc Ibrahim Ajibu Migomba ameagwa rasmi na iliyokua klabu yake klabu ya Azam Fc ikielezwa anatimkia klabu ya Singida Big Stars.

Mchezaji huyo inaelezwa yupo kwenye hatua za mwisho za kujiunga na klabu ya Singida Big Stars ya mkoani Singida baada ya kuhudumu kwa waoka mikate wa Azam kwa takribani mwaka mmoja na nusu.ibrahimu ajibuNyota Ibrahim Ajibu wa zamani wa vilabu vya Simba na Yanga amekua hayupo kwenye kiwango bora sana tangu alipoondoka ndani ya klabu ya Yanga, Hivo kumfanya kutopata nafasi katika vilabu vya Azam na Simba huku kwasasa akiwa anasubiriwa ndani ya klabu ya Singida Bid Stars.

Klabu ya Singida Big Stars imeonekana miongoni mwa vilabu tishio katika ligi kuu ya NBC msimu huu kutokana na sajili ambazi wamekua wakizifanya, Mpaka sasa klabu hiyo imeshafanya sajili za wachezaji kama Nickson Kibabage na Ibrahim Ajib ambaye yupo hatua za mwishoni kujiunga klabuni hapo.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.