JKT Tanzania Kukipiga Dhidi ya Kagera Sugar

Ligi kuu ya NBC Tanzania kurejea hii leo kwa michezo miwili, huku mchezo wa mapema kabisa utakuwa ni ule ambao unawakutanisha kati ya JKT Tanzania dhidi ya Kagera Sugar majira ya 10:00 jioni.

 

JKT Tanzania Kukipiga Dhidi ya Kagera Sugar

Mchezo huo utapigwa katika dimba la CCM Kambarage huku timu hiyo mwenyeji akiwa ampenada daraja msimu huu na huu utakuwa mchezo wake wa tatu halikadhalika kwa Walima Miwa.

Aviator, poker, Roullette, Wild Icy Fruits, Piggy Party na mingine kibao upige pesa na Meridianbet. Ingia www. meridianbet.co.tz.

JKT kwenye hiyo michezo mitatu ambayo amecheza ameshinda mmoja na amepoteza miwili wakati kwa upande wa timu kutoka kanda ya ziwa ikiwa ina matokeo sawa na mwenyeji wake.

JKT Tanzania Kukipiga Dhidi ya Kagera Sugar

Yani hapa zinakutana timu mbili ambazo zina pointi sawa na uhitaji wa pointi tatu ni muhimu kwa timu zote mbili. Je nani ataibuka na ushindi mechi hii?

Beti na Meridianbet kwa odds kubwa na machaguo kibao, pia unaweza kubashiri mubashara.

Takwimu zinaonyesha kuwa mechi 5 za mwisho walipokutana, mwenyeji ameshinda mechi zote. Kisasi kitalipwa na Kagera Sugar leo?

 

 

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.