Max Nzengeli Mchezaji Bora Mwezi Agosti

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania(TFF) limetangaza hii leo kuwa Max Mpia Nzengeli ambaye ni mchezaji wa klabu ya Yanga ndiye mchezaji bora mwezi Agosti.

 

Max Nzengeli Mchezaji Bora Mwezi Agosti

Max kwenye mechi mbili za Yanga ambazo wamecheza amehusika kwenye mabao 3 huku kwenye mechi yao dhidi ya JKT amefunga mabao mawili na kutoa assist moja ambao walishinda mabao 5 kwa 0.

Beti na Meridianbet kwa odds kubwa na machaguo kibao, pia unaweza kubashiri mubashara.

Pia mchezaji huo kwenye mechi dhidi ya KMC alihuika vyema kabisa kwani ndiye aliwavuruga KMC katika dimba la Chamazi pale ambapo pia Yanga waliibuka na mabao 5-0 huku wakimiliki mpira kwa asilimia kubwa.

Max Nzengeli Mchezaji Bora Mwezi Agosti

Aviator, poker, Roullette, Wild Icy Fruits, Piggy Party na mingine kibao upige pesa na Meridianbet. Ingia www. meridianbet.co.tz.

Kutokana na mechi hizo mbili za Ligi Kuu ya NBC TFF wamemuona kuwa mchezaji huyo ndiye bora mpaka sasa na kumpa tuzo hiyo ambayo hutolewa kila mwezi na Shirikisho la Mpira.

 

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.