METACHA KILA KITU SAFI NA BLACK STARS

GOLIKIPA Metacha Mnacha amekamilisha usajili wa kujiunga na Singida Black Stars Kwa mkataba wa miaka miwili.

Kwa Mujibu wa taarifa kutoka ndani ya Uongozi wa Yanga, inasema kuwa kinachosubiriwa ni kuagwa na Kutambulishwa kwenye Chama lake jipya.

“Ni kweli ameshamalizana na sisi na kinachosubiriwa ni uongozi kumuaga tu na kisha atambulishwe kwenye timu yake mpya ya Singida ambayo wameshamalizana nao Kila kitu,” alisema.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.