Metacha In, Shikhalo Out

Uongozi wa Yanga umepanga kuachana na wachezaji wao wa kigeni watano kutokana na viwango vyao ambavyo wameonyesha msimu huu.

Katika orodha hiyo ya wachezaji wa kigeni ambao wataachana nao yupo kipa Farouk Shikhalo ambaye amekuwa si chaguo la kwanza.

shikhalo

Meneja wa Metacha, Jemedar Said alisema kuwa kwa nyakati tofauti alizungumza na viongozi wa Yanga, Gharib Said, Senzo Mazingisa na Haji Mfikirwa.

“Wote kwa pamoja wameonyesha nia ya kumuongezea mkataba mpya Metacha na walinambia mwanzoni mwa mwezi wa sita watamsainisha mkataba mwingine” alisema Kazumari.

metacha

Inaelezwa kuwa tayari miamba ya soka ya Kenya, Gor Mahia imeonyesha nia ya kuhitaji huduma ya Shikhalo.


MAANA KAMILI YA USHINDI KATIKA KASINO ZA MERIDIANBETI NI PAMOJA NA MCHEZO WA PANDA PANDA.

Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Panda Panda na uwe moja ya washindi na Mabingwa.

Gomes, Gomes : Sitafanya Usajili wa Kutisha., Meridianbet

CHEZA HAPA

5 Komentara

    Yanga wamefanya mabadiliko mazuri sana

    Jibu

    Duh balaaaa

    Jibu

    Hatari

    Jibu

    Safi sana Yanga

    Jibu

    Yanga. Mnambwela

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.