Uongozi wa Yanga umepanga kuachana na wachezaji wao wa kigeni watano kutokana na viwango vyao ambavyo wameonyesha msimu huu.
Katika orodha hiyo ya wachezaji wa kigeni ambao wataachana nao yupo kipa Farouk Shikhalo ambaye amekuwa si chaguo la kwanza.
Meneja wa Metacha, Jemedar Said alisema kuwa kwa nyakati tofauti alizungumza na viongozi wa Yanga, Gharib Said, Senzo Mazingisa na Haji Mfikirwa.
“Wote kwa pamoja wameonyesha nia ya kumuongezea mkataba mpya Metacha na walinambia mwanzoni mwa mwezi wa sita watamsainisha mkataba mwingine” alisema Kazumari.
Inaelezwa kuwa tayari miamba ya soka ya Kenya, Gor Mahia imeonyesha nia ya kuhitaji huduma ya Shikhalo.
MAANA KAMILI YA USHINDI KATIKA KASINO ZA MERIDIANBETI NI PAMOJA NA MCHEZO WA PANDA PANDA.
Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Panda Panda na uwe moja ya washindi na Mabingwa.
Yanga wamefanya mabadiliko mazuri sana
Duh balaaaa
Hatari
Safi sana Yanga
Yanga. Mnambwela