Nabi Awapa Onyo Wachezaji Yanga

KOCHA wa Yanga SC Nasraddine Nabi amekuwa ni moja wa makocha wanaosisitiza sana nidhamu kwa wachezaji wake, tangu akiwa Al Hilal ya Sudan alikuwa ni mtu wa kusimamia nidhamu ya timu. Odds kubwa za soka unazipata Meridianbet.

 

nabi

Sasa Nabi amesema kuwa kwenye kikosi chake hataangalia tena majina, kama mchezaji hatafuata sheria za timuatamuweka benchi maana Yanga ni kubwa kuliko mchezaji. Ukiwa na meridianbet unaweza kubashiri mubashara, tembelea maduka ya meridianbet uweze kubashiri.

“Mashabiki lazima wajue, Mimi sitamuogopa mchezaji Yeyote ambaye hatoheshimu Sheria zangu na kuiheshimu Yanga” -Nasraddine Nabi

 

nabi

Hili linatokana na baadhi ya wachezaji wa Yanga kuwa na nidhamu mbovu na taarifa za ndani zinabainisha kuwa hili linatokana na mchezaji Bernard Morrison kutoonekana kikosini hapo kwa muda na kuzua mijadala mingi ni wapi alipo. Beti na Meridianbet mechi za ligi zote, odds ni kubwa sana, Usikose hii!!.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.