PRISONS WAAPA KUISHANGAZA SIMBA

 

KLABU ya Tanzania Prisons imesema makosa yaliyoonekana kwenye mechi tatu zilizopita yamefanyiwa kazi, hivyo Simba isitarajie mteremko, huku nyota wa timu hiyo wakipania pointi tatu kesho.

Prisons haijashinda mchezo wowote katika michezo mitatu iliyocheza ikivuna pointi moja na kubakia mkiani kwenye msimamo wa Ligi Kuu, huku Simba ikiwa ya tatu na alama zake tisa. Kocha mkuu wa timu hiyo, Fred Felix ‘Minziro’ alisema:“Tunahitaji ushindi pamoja na ugumu wa mchezo utakavyokuwa. Nimewaandaa vyema nyota wangu na nimewaelekeza kutofanya makosa yoyote ya kizembe”

“Tuko mkiani na hatujaonja ushindi hadi sasa baada ya kuanzia ugenini. Sasa tumekuja nyumbani hivyo lazima tuwape raha mashabiki na kujiweka pazuri kwenye msimamo”Nahodha wa Tanzania Prisons, Jumanne Elifadhili alisema wanafahamu Simba ina kikosi bora, hivyo watapambana na mchezaji mmoja

 

 

 

 


 

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.