SIMBA,MAZEMBE KUSHIRIKIANA

Mmiliki wa Klabu ya TP Mazembe, Moise Katumbi amesema tumeingia makubaliano na Klabu ya Simba ili kushirikiana katika mambo mbalimbali yanayohusu mpira.

Katumbi amesema makubaliano ambayo wanayo na Simba ni katika utawala, uchumi na kuuziana wachezaji.

Ikumbukwe kuwa msimu uliopita Simba waliofanya biashara na TP Mazembe ya kuuziana mchezaji Jean Baleke ambaye ameleta chachu kubwa katika mpira wetu kutokana na uwezo wake wa kufumania nyavu

Moise ameishukuru Simba kwa mapokezi yao toka wamefika hapa nchini Tanzania ambapo walikuwa na michezo ya AFL dhidi ya Es Tunis ya Tunisia

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.