YANGA YATOLEWA TUZO ZA KLABU BORA AFRIKA

Klabu ya Yanga imeondoshwa kwenye kinyang’anyiro Cha klabu bora Afrika baada ya mchujo wa mwisho kuzipitisha klabu za Al Ahly, Wydad Casablanca na Mamelodi Sundowns!

Yanga licha ya kuingia Tano bora lakini haikufanikiwa kupenya kwenye Tundu la mwisho,

Pia Kocha wasasa wa Simba Sc Abdelhak Benchikha akiingia tatu bora,

Huku wengine ni Aliou Cisse (Senegal) na Walid Regragui (Morocco).

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.