Rais wa Juventus Andrea Agnelli amemjibu Paulo Dybala akisema kuwa klabu tayari imempa nyongeza ya mkataba, na kuwa klabu inasubiri jibu lake kukamilisha hilo.
Akizungumzia suala hilo pia, raisi amesisitiza kuwa nyota huyu bado hajawa miongoni mwa mastaa watano wakubwa wa dunia.
Staa huyu alifunga bao lake la kwanza kwa msimu huu wa Serie A dhidi ya Genoa jana na baada ya mchezo alidai Juventus bado hawajampa ofa ya kuongeza mkataba wake.
Dyabala alinukuliwa akisema “Wakala wangu alikuwa Turin kwa muda mrefu na hakuitwa tena.”

“Inanikatisha tamaa kusikia mazungumzo ya watu waliowekeza kifedha. Ingekuwa bora ikiwa ukweli ungesemwa, kwa sababu kuzungumza juu ya takwimu hizi katika hali ya sasa kunawashtua mashabiki kuwa na chuki dhidi yangu, na mapenzi yote niliyonayo kwa Juventus,” – Paulo Dybala
Hata hivyo, Agnelli ambaye amesema amesekia yale yaliyosemwa na nyota huyu anasema kuwa kuwa na mapenzi na klabu sio dhambi. Hata hivyo, nyota huyu alipitia kipindi kigumu wakati alipopata Corona. Na amebainisha kuwa suala la mkataba klabu inasubiri tu jibu. Wanaamini atakuwa nyota bora zaidi baadaye.
Mkataba wa mshambuliaji huyo wa Argentina unamalizika mnamo Juni 2022.
BURUDIKA NA WANYAMAPORI WAKIIMBA NA KUPIGA VYOMBO VYA MUZIKI!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, furahia mchezo wa Forest Rock. Hapa utaburudika na umahiri wa wanyapori wanaoimba na kutumia vifaa vya muziki wa rock. Burudika huku ukijiwekea nafasi ya kutengeneza pesa ndefu kupitia Meridianbet!!



Dorophina
Paulo ni bora abakie tu juventus
Caroline
Dyabala mjanja Sana
Sarah
Abaki tu juventusi
Lydia Emmanuel Magoti
Dyabala anajua nini anakifanya
Issa
Dyabala ni noma
Hopemwaikuka
Imeeleweka
Rahma
Dyabala ni mtu makin
Ernest
Ngoja tuone
Mwanahamisi
Dyabala sio poa
Janeflora malisa
Asnt kwa taarif meridianbet
Saupha mohamed
Good newes
samiah
Gud
Tatu
Dyabala yupo vizuri
warda
Ndo basi tena kutoka