Mino Raniola amechukua tuzo ya wakala bora zaidi kwa mwaka 2020 (Golden Boy 2020) na katika kuzungumzia mafanikio yake amegusa pia suala la Zlatan Ibrahimovic.
Raniola anasema kuwa kwa nafasi yake ameweza kuonana na wachezaji wa aina nyingi sana, na ameona wachezaji ambao walichoka wakiwa katika umri wa Zlatan, kwa kuwa haikuwa bahati kwao aliwaonea huruma.

Wakala huyu, amesema kuwa yeye hajawahi kuona kama Zlatan amechoka kwa namna yeyote, zaidi anajilaumu na kujutia kwa nini alimpeleka kwenye Ligi ya MLS, akiamini kuwa Zlatan ni bora zaidi, na alikuwa na uwezo wa kuonesha zaidi ya anachokifanya sasa hivi, na ana uwezo wa kucheza hata miaka mitano zaidi.
“Najutia kumpeleka MLS, ilikuwa ni kupoteza mda. Huko mbeleni atachukua jukumu muhimu, labda anaweza kuwa raisi wa UEFA, ili aweze kuchangamsha soka.”
Raniola anasema kuwa yeye ana uhusiano mzuri sana na Zlatan, na sehemu ya familia wamefanya mambo mengi pamoja na kuwa pamoja katika nyakati nyingi za furaha.
BURUDIKA NA WANYAMAPORI WAKIIMBA NA KUPIGA VYOMBO VYA MUZIKI!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, furahia mchezo wa Forest Rock. Hapa utaburudika na umahiri wa wanyapori wanaoimba na kutumia vifaa vya muziki wa rock. Burudika huku ukijiwekea nafasi ya kutengeneza pesa ndefu kupitia Meridianbet!!



Shakila mrope
🔥🔥🔥🔥🔥
Caroline
Asante kwa taarifa
Dorophina
Ibrahimovic yupo vizuri sana
Lydia Emmanuel Magoti
Hina pendeza
Issa
Ibra achuji
Hopemwaikuka
Ndo bas tena
Rahma
Saf
Ernest
Ibrahimovic kazi kazi tuu hana maneno
Janeflora malisa
Safi
Saupha mohamed
Safi
samiah
Vzr
Tatu
Vizuri
warda
Imekaa poa sana mpaka kuwa wakala bora