Al Ahly vs Bayern Munich Kwenye Nusu Fainali.

Hatua ya robo fainali ya Fifa Club World Cup imemalizika kwa Al Ahly kuwalaza Al-Duhail na sasa watachuana na Bayern Munich.

Miamba ya soka la Misri na Afrika kwa ujumla – Al Ahly walikuwa wakipambana na miamba ya soka la Qatari, Al -Duhail katika mchezo wa robo fainali.

Pengine mashabiki wengi walimshangaa kocha Mosimane kwa kumuanzisha mshambuliaji raia wa Congo, Walter Bwalya na kumuacha Marwan Mohsen benchi.

Al Ahly
Kocha wa Al Ahly, Pitso Misomane

Bwalya alitoa pasi muhimu ya ushindi ambapo Hussein El Shahat aliitumia vizuri na kupachika goli la ushindi katika kipindi cha kwanza.

Kwa matokeo haya, miamba hii ya soka la Misri watavaana na mabingwa watetezi wa Bundesliga na Ligi ya Mabingwa, Bayern Munich katika hatua ya nusu fainali.


TENGENEZA FAIDA KUPITIA KASINO YA MERIDIANBET

Neptune’s Richies ni mchezo Unaokupa pesa chap chap huku ukiwa unaburudika kupitia Kasino ya Mtandaoni ndani ya Meridianbet.

Neptune's-Riches_Casino-Post_30-January

Cheza hapa

12 Komentara

    Mpambano mkali sana

    Jibu

    Itakuwa balaa sana

    Jibu

    Litakuwa bonge la mpambano

    Jibu

    Itapendeza Sana

    Jibu

    Itapendeza sana

    Jibu

    Itakuwa bomba sana

    Jibu

    Al ahly watawaweza kweli munich

    Jibu

    Al ahly wapo juu

    Jibu

    Aisee pongez kwao

    Jibu

    Vizuri sana

    Jibu

    Bonge la mech

    Jibu

    Hatari hii

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.