Tarehe 24 Agosti 2004 ndiyo ilikuwa siku ya mwisho kwa Chelsea kucheza michezo mitatu ya Ligi Kuu Uingereza bila kuruhusu nyavu zake kutingishwa (kufungwa goli).

rekodi hiyo ikihesabiwa kama kocha mpya na kwenye michezo yake mitatu ya mwanzo timu haijafungwa goli, msimu huo Chelsea iliweka rekodi ya kucheza msimu mzima na kufungwa magoli machache zaidi. Magoli 15.

Leo tarehe 5 Februari 2021, Chelsea ikiwa chini ya kocha Thomas Tuchel inafikia rekodi kama hiyo ikicheza michezo mitatu mfululizo bila kuruhusu kufungwa goli.
Rekodi hiyo inafikiwa tena kwa kocha mpya Thomas Tuchel ambaye ndani ya michezo yake mitatu ya mwanzo ya ligi kuu, timu haijafungwa goli.
Neptune’s Richies ni mchezo Unaokupa pesa chap chap huku ukiwa unaburudika kupitia Kasino ya Mtandaoni ndani ya Meridianbet.



Magdalena
Mourinho Ni mtu wa pekee sana
Adelta
Mourinho Yuko makini na kazi yake
Khadija
Muorinho namkubali sana kwan anajua anachokifanya katika soka
Neema juma
Anastahili kupongezwaa
Dorophina
Mourinho yupo vizuri
Caroline
Hongera sana Tuchel
Hopemwaikuka
Kaz kaz
Sarah
Mourinho mtu makini sana
Sylvester
Special one mdomo mwing sana saiv anagongwa tu na wakongwe na wadogo
Lydia Emmanuel Magoti
Hongera yake
Issa
Kocha wa rekodi
warda
Tuchel yuko poa sana