Kocha mpya wa klabu ya Manchester United raia wa kimataifa wa Ureno Ruben Amorim (39) ameweka wazi chaguo lake ilikua kujiunga na klabu hiyo mbali na kuhitajika na vilabu kadhaa barani ulaya.
Amorim ambaye amefanikiwa kutwaa mataji mawili ya ligi kuu ya Ureno na mpaka sasa akiwa anaongoza ligi hiyo kuonesha kwa namna gani amekua kwenye ubora na timu hiyo, Lakini maneno yamekua yakizungumzwa ni kua pesa ndio jambo limemng’oa ndani ya Sporting CP jambo ambalo amekanusha.“Nimepokea maombi kutoka vilabu vingi katika miezi ya hivi karibuni… lakini klabu niliyotaka ilikuwa Manchester United”.
“Hakuna shabiki wa Sporting aliyependa nikae hadi mwisho wa msimu kuliko mimi. Lakini haikuwezekana.”
“Watu wengine wanasema nilijiunga na Man United kwa ajili ya pesa. Si hivyo.”
“Vilabu vingine vilikuwa tayari kulipa mara tatu zaidi na nilikataa… kwa sababu hiki ndicho klabu nilichotaka: Man United.” Alisema Amorim
This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.
Strictly Necessary Cookies
Strictly Necessary Cookie should be enabled at all times so that we can save your preferences for cookie settings.
If you disable this cookie, we will not be able to save your preferences. This means that every time you visit this website you will need to enable or disable cookies again.